Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,746
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Japo Simba tumeshinda ila tumempoteza shabiki wetu mmoja,ni mtu naemfahamu na ni doctor kwa wale wanaoishi Magomeni Makanya kuna ka-hospital kapo hapa Popobawa ndipo aliakifanyia shughuli zake,wakati wa tukio sikuwa nae habari nimezipata kutoka kwa watu waliokuwa karibu,goli lilipofungwa alinyanyuka kushangilia but hakurudi kukaa akaishia kuanguka.nimesikitika sana hata raha ya ushindi imenitoka.rip dk Masako.
Mshxxxxxxiiiiieeewwww tafuta pesa wewe mtoto wa kiume, umbeya na ushakunaku haulipi.
Hii haikuhusu niliandika mapema, ni wana Yanga tu. Kiss my ***
Simba
Happy Women's Day
Poleni sana
Kweli watani mna furaha mpaka imepitiliza mnatoa na lugha za ajabu kisa kumfunga yanga leo,
aya leo kwenu kesho kwetu.
Yamepita hayo, tujadili sensitive issues .
Kweli sikio la kufa halisikii dawa na siku ya kufa nyani mti yoteee huteleza........ Kikowapi kile Jerry Muro alichokuwa akikiongea kama msemaji wa Yanga??? ..... ni dhahiri kwamba alikuwa anabwabwaja na hajui anachokiongea kibaya zaidi hajui kwamba hajui ........ Yanga chaliiiiiiiiiiiiiii hongera sana MNYAMA
Sasa umekuja kivingine baada ya kutahayari. Hatuna haja na ubingwa usio na hela sisi tumemtaka mke wetu na tumempata. Kombe la ndondo tumewaachia wadogo zetu Azam. Na kwa taarifa yenu leo mdogo wetu ameshinda.
Kama haitoshi mimba kadi nyekundu ya taahira kiziwi lenu lisilosikia filimbi Niyonzima litawagharimu mechi mbili zijazo.
Lazima mpoteane tu.
Yanga tumekuwa wateja kwa Simba tunaingia uwanjani huku tumeshafungwa kisaikolojia
Ha ha haaaaaa Masuke mimi mtoto mwema kabisa, ban mods wakinipa watanionea tu, japo niliiomba mwenyewe.
Tumetaka nanyi mikia mfurahie angalau, maana bila hivyo wakina Aveva wangekuwa kwenye hali mbaya sana.
Week inayoisha hii nilikuwa busy sana tu, leo tena uwanjani nikala za uso, zaidi refa kanichefua sana na yellow card zake double double.
Ile red kwa Ninyonzima ndio akanikata maini kabisa, baada ya muda nikajitokea zangu maana km zege lilishalala lile.
mki mlaumu refa mtakuwa mnakosea kama refa angekuwa makini basi niyonzima, cannavaro, Mrwanda wangepewa red card...wachezaji Wa yanga walikuwa na jaziba ..