barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Mtabakia kuisikia champions league na kombe la shirikisho.... Tu.
Hata bila kushiriki...
Maana unakazi kubwa kweli ya kufuta points za yanga na Azam.
Rekodi yetu huko ni nzuri zaidi yenu. Ushiriki wenu huko ni aibu kwa taifa. Hamjawahi kutufurahisha kama taifa.