Kama hamjali kufungwa na Simba na sio muhimu kwanini mnazimia na kufukuzana kwenye mechi dhidi ya Simba na sio kwa timu zingine? Denial ni strategy nzuri ya kupunguza maumivu. Rais wenu Manji kapata kichaa anashtaki watu ovyo. Kwanini kwenye mechi dhidi ya Simba ndio inauma zaidi mkifungwa.