Hahahahahaaaa wewe akili zako sio nzuri.teh teh teh shughuli zimekuwa nyingi si unajua tumeambiwa hapa kazi tu.. Alafu huu mwisho wa mwaka si unajua tena..
Naona leo Bwashee kakuacha mpaka muda huu unaserebuka na JF tu..
Hahahahahaaaa wewe akili zako sio nzuri.
Kabisa,JF ya siku hizi imekuwa kama kijiwe cha ghahawa.teh teh teh teh zile nzuri si unazijua.. JF ya sikuhizi haina kazi ya kushughulisha akili..
Akina lara 1 sijui wamefia wapi...
Tatizo hiyo ya rubii nahisi itaeditiwa na mods tu,si unajuaga vile mastory ya ukweli yanavyokuwaga?Wakizitoa nitag bana.. Mimi humu napita kwa manati sikuhizi..
Tatizo hiyo ya rubii nahisi itaeditiwa na mods tu,si unajuaga vile mastory ya ukweli yanavyokuwaga?
Kwa maneno mengine ni kwamba nae atatoa autobiography yake kama zileeee.
Wasiwasi wangu nisikute imesha editiwa.
Na comments zake je?wasije wakaleta huo uchawi.. watuache tufunge mwaka vizuri bana..
Sema haka karubii nako kataleta mambo matamu tamu maana ile Avatar yake imewaingiza wengi mkenge hahahahaha
Na comments zake je?
Jiandae na notebook kabisa.
Halafu sasa hivi sina ugeni kama zile autobiography zilizopita nilikuwa nashindwa kuunganisha dots faster sababu ya ugeni.....
Naisubirije kwa hamu sasa?
[emoji39] [emoji39]
Hahahahahaaa uwiiiiiiii umenichekesha sana.teh teh teh haka kabinti kachokozi sana... Kalikuwa kanaleta thread hapa mpaka mtu unachuchumaa chini usije haribu mazingira mbele za watu..
Wakuu nifah na Steph Curry hongereeni kwa kuchati usiku wa manane huku wengine tukiwa usingizini, tumeamka salama na kukumbuka kuwa:
Yanga 4-0 Stand United
Toto Africans 1-1 Simba SC
Macho yangu hayachoki kutazama matokeo hayo!
CC.Mkuu sembo.
kwa mtu mwanamichezo anayefatilia matokeo ya simba na Toto hapo CCM kirumba hatashangaa na hayo matokeo...
Uwiiiiiii hebu nikasome mie.jANA NIMEWEKA KITU! Oooh!
HahahahahaaaaaWakuu nifah na Steph Curry hongereeni kwa kuchati usiku wa manane huku wengine tukiwa usingizini, tumeamka salama na kukumbuka kuwa:
Yanga 4-0 Stand United
Toto Africans 1-1 Simba SC
Macho yangu hayachoki kutazama matokeo hayo!
CC.Mkuu sembo.
Lyanga kashatuweka mjin.
kwa mtu mwanamichezo anayefatilia matokeo ya simba na Toto hapo CCM kirumba hatashangaa na hayo matokeo...
Wakuu nifah na Steph Curry hongereeni kwa kuchati usiku wa manane huku wengine tukiwa usingizini, tumeamka salama na kukumbuka kuwa:
Yanga 4-0 Stand United
Toto Africans 1-1 Simba SC
Macho yangu hayachoki kutazama matokeo hayo!
CC.Mkuu sembo.
Yanga bado mnanunua mechi tu teh teh teh..
Mimi natafuta timu mpya ya kushabikia.. Bado nayapitia mafaili ya Ndanda na Stendi