Ligi kuu bara: Yanga 3-1 Mtibwa, Mbeya City 0-2 Simba, Stand UTD 1-0 Azam FC

Ligi kuu bara: Yanga 3-1 Mtibwa, Mbeya City 0-2 Simba, Stand UTD 1-0 Azam FC

hebu jazia nyama ueleweke,ndo umeandika nini hapo?
 
Azam kafungwa 1 kwa 0 na stand united,chama la wana.
 
Hawa Mkodisho FC bado wanazidi Kuweweseka Kama Misukule!!!! Walikuwa Wakidai Simba inashinda Kwasababu Haijatoka Nje Ya Dar!! Haya leo Twambieni Mbeya Nayo Ni Sehemu Ya Dar??
Mumekuja Na Gia Nyengine eti Tusifurahi Manake Ligi Bado Mbichi!!! Pia Kwetu Simba Si Tatizo Manake Tushaivumbika iive....
Asieamini Kuwa Simba Ni Bingwa Basi Kila la kheri Aende Kumuona Daktari wa Magonjwa ya Akili...
 
Hawa Mkodisho FC bado wanazidi Kuweweseka Kama Misukule!!!! Walikuwa Wakidai Simba inashinda Kwasababu Haijatoka Nje Ya Dar!! Haya leo Twambieni Mbeya Naye Ni Sehemu Ya Dar??
Mumekuja Na Gia Nyengine eti Tusifurahi Manake Ligi Bado Mbichi!!! Pia Kwetu Simba Si Tatizo Manake Tushaivumbika iive....
Asieamini Kuwa Simba Ni Bingwa Basi Kila la kheri Aende Kumuona Daktari wa Maginjwa ya Akili...
Wanazungumzia viwanja vibovu mkuu, sokoine ipo vzr waliishakarabati uwanja wao. Km una kumbukumbu hata simba walilalamikia uwanja wa Uhuru je ukikutana na uwanja wa nangwanda itakuwaje?
 
hii ligi bado mbichi sn, bt huwa napatwa na shida kdogo na mashabiki hasa wa simba kuamin kwamba tayari wamechukua kombe kwan wana kikos kzuri, my take hata msmu uliopta simba walikuwa vzuri sn na walfanya vyema kila kombe huku wakiwa na maneno hayahaya wakiongozwa na manara at ze end....tuache ushbk ligi bado mbichi..sn

Mashabiki na viongozi wa Simba wanachonga mno wasipo angalia nafasi ya Azam ambayo ni ya pili anaweza chukua Stand United na Simba wakabaki nafasi yao ya kila mwaka inajulikana
 
Siku hizi mnaingia Jf bila hata hodi.

Lile Jukwaa la Utambulisho halina tena maana.
 
Dakika 90 za mchezo wa ligi kuu Tanzania bara Stand United vs Azam fc zimemalizika katika uwanja wa CCM Kambarage mjini Shinyanga. Stand United "Chama la Wana" wameibuka kidedea kwa kuinyuka Azam Fc bao 1-0...Stand wamejipatia bao hilo kupitia kwa mchezaji Adam Salamba dakika ya 52.

Simba Kama Kawa, Yanga Kachomeka, Mtibwa Kashindwa Kuchomoa


14650116_708272306005680_7478272366190988416_n.jpg



14720435_653877751437910_2953017699286275003_n.jpg


Chanzo: Malunde blog
 
Naona timu ya wajane aka mbumbumbu fc imewasha moto hasa[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Mashabiki na viongozi wa Simba wanachonga mno wasipo angalia nafasi ya Azam ambayo ni ya pili anaweza chukua Stand United na Simba wakabaki nafasi yao ya kila mwaka inajulikana
Wanatunza nafasi ya wenyewe... Wanakuja kama tsunami
 
Back
Top Bottom