Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Hao hata wabebe virungu hawawezi kupambana na wananchiHawa ruvu, prison na polis huwawanavaa buti uwanjan
Mimi nataka nimuone molinga akiscore braceHii game naona yanga anaenda kushindia,japo mi SI shabiki wa team za ndani
Molinga leo anaanza kazi rasmiDavid Molinga Falcao hamna tofauti na wabrazili wa mikia fc
Labda kazi ya kutungua minaziMolinga leo anaanza kazi rasmi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda kazi ya kutungua minazi
[emoji23][emoji23]Zahera ashaanza kulalamikaLabda kazi ya kutungua minazi
Simba wenyewe wanakubaliana na hilo?David Molinga Falcao hamna tofauti na wabrazili wa mikia fc
Muda ni msemakweli. Ngoja tuone.David Molinga Falcao hamna tofauti na wabrazili wa mikia fc
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda kazi ya kutungua minazi
Kwanini awe na sifa za kuanzia nje?Mapinduzi Balama na Mohamed Issa 'Banka' hawana sifa ya kukaa benchi. Fei Toto ana sifa zote za kuanzia nje. Ila naheshimu uamuzi wa mwalimu.
Zahera na Musiba cyprian nazan ni mama mmoja na baba mmoja[emoji23][emoji23]Zahera ashaanza kulalamika
Kwanini wazikubalianeSimba wenyewe wanakubaliana na hilo?
Watapata tabu sanaZahera na Musiba cyprian nazan ni mama mmoja na baba mmoja
Nadhani mwalimu kawaweka nje mambo yakiwa magumu waingie wakapindue tokeoMapinduzi Balama na Mohamed Issa 'Banka' hawana sifa ya kukaa benchi. Fei Toto ana sifa zote za kuanzia nje. Ila naheshimu uamuzi wa mwalimu.