VIP 15,000 na Mzunguko 5000Wakuu tiketi ni kiasi gani?
Ni palepale wanakata tiket au ni zile mashine za selcom.VIP 15,000 na Mzunguko 5000
Machine za Selcom na pia hata pale Uwanjani kuna MawakalaNi palepale wanakata tiket au ni zile mashine za selcom.
Kabisaa mkuuMungu ibariki Yanga mechi zote ni Muhimu kwetu
Mwinyi Zahera YupoNani yupo maeneo ya tukio?
Kazi gani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Molinga leo anaanza kazi rasmi
Hujaona visigino anavyopiga...kama gaucho[emoji1787][emoji1787][emoji23]Kazi gani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]