Ligi Kuu Soka Tanzania Bara: Mbao FC 2 vs Simba SC 3 CCM Kirumba

Kipa asipotajirika kwa ofa alizotoa leo kwa simba sijui maana naona kuna dau zuri sana aliloandaliwa.
 
This is Simba, walioweka picha ya malema waweke ikiwa full time.... What a fucking come back
 
Reactions: Pep
Kujiangusha kumewagharimu...dakika saba zilikua chache tena sana..angeongeza japo kumi...anyway This is Simba!
 
Huyu golikipa wa Mbao vipi jamani?
Mpumbavu sana,anataka kutuharibia siku saa hizi.

Kafara tulilolifanya hapo dakika 12 za mwisho ambazo ndizo zimetupatia huo ushindi ni balaa na kuna ' Kiongozi ' mmoja wa Simba alibeba ' mzigo ' na akasogea hapo karibu na Benchi la ufundi na baada ya goli la 3 kuingia ' Kazimia ' na sasa yupo chumbani anafanyiwa mambo yetu ya Kiswahili kwani Mbao FC wamefukia vitu vibaya sana hapo Uwanjani jana usiku. Viongozi wote wa Simba waliogopa kubeba huo ' mzigo ' ila huyo Kiongozi wa matawi wa Dar es Salaam kwa mapenzi yake makubwa kwa Simba alikubali kubeba na tunamshukuru mno kwani bakora zingelika sana leo.
 
Yaani Roma kaniudhi na sasa mbao wananifanya nilale mapema but niwakumbushe tu mikia Yanga hua hana mchezo mwishoni mwa ligi,hili mlikumbuke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…