Ligi Kuu Soka Tanzania Bara: Mbao FC 2 vs Simba SC 3 CCM Kirumba

Ligi Kuu Soka Tanzania Bara: Mbao FC 2 vs Simba SC 3 CCM Kirumba

Na bado,kanda ya ziwa akifanikisha sana nikuondoka na point moja pekee
 
Simba hawana plan,wanaendeshwa na mihemko. Hivi ufungwe na kagera,ushinde kwa mbao? Walipaswa kubadili mfumo. Kila mwaka wanatema ubingwa ovyo kabisa hawa simba koko.
 
Huu uzi leo mbona mashabiki wa Simba siwaoni?!
FB_20170407_19_52_20_Saved_Picture.jpg
 
Uvumilivu unataka kunishinda kila siku kufungwa tu ubingwa tunausikia sijui huu mwaka wa ngapi.

Nataka kuhamia upande wa jangwan mtanikaribisha? Maana hizi stress nimezichoka
 
Back
Top Bottom