Tumbo Tumbo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 1,278
- 1,553
Kama Simba wangekuwa hawajapita ktk mlango rasmi, wangewakoma Yanga.Yaani 45 minutes no shot on target for Simba and these are the internationals we have.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Simba wangekuwa hawajapita ktk mlango rasmi, wangewakoma Yanga.Yaani 45 minutes no shot on target for Simba and these are the internationals we have.
huu mpira wanaopiga yanga siyo wa nchi hii...tactical master class...simba kakimbia mwitun kulaleki!
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sahihi kabisa kwa asilimia zote mkuuMpira wetu bado sana,, mipira inapotea hovyo hovyo, hakuna viungo wazuri wa kupiga pasi za mwisho, refa anaacha kutoa kadi kwa rafu zinazostahili kadi..zaidi sana timu.zetu.zinacheza mpira wa kufurahisha jukwaa, chenga, pasi fupi za hovyo.. tuwe na akademi nyingi za kuandaa na kuwakuza wachezaji ili waujue huu mchezo ipasavyo..mpira umebadilika sana ila sisi bado tunacheza soka la karne ya 20.
Sent using Jamii Forums mobile app
DuhKama Simba wangekuwa hawajapita ktk mlango rasmi, wangewakoma Yanga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tetema mamaSasa Simba mnazimiaje mapema hivi lakini?
Na mie niko hapa View attachment 1024192
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Simba wangekuwa hawajapita ktk mlango rasmi, wangewakoma Yanga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa Simba mnazimiaje mapema hivi lakini?
Na mie niko hapa View attachment 1024192
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto mashalaa ......Wakubwa wanafaidiSasa Simba mnazimiaje mapema hivi lakini?
Na mie niko hapa View attachment 1024192
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa nimekuona mdada mwenye jichura lake
Mpira magoliSasa hapo uwanjani hauuoni? Au ndio unajipa ukipofu wa mda. Simba wanacheza mpira mwingi
Sent using Jamii Forums mobile app