Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangu lini mechi ya mtani ikawa na mpira mzuriMimi ni simba, tumeshinda ila sijavutiwa na mpira wa simba. Kama wewe umeona wanacheza mpira mzuri basi umepumbazwa na ushabiki.
Na wewe bado una pumzi baada ya kubakwa? Kweli mazoea yana taabu.Congo 5
Misri 5
Taifa 1
Taifa 1
Mpaka sasa sisi 10-2 Simba.
Mimi ni simba, tumeshinda ila sijavutiwa na mpira wa simba. Kama wewe umeona wanacheza mpira mzuri basi umepumbazwa na ushabiki.
Ninyi ndo mmecheza au [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji6][emoji6]mnatia aibu daahhhCongo 5
Misri 5
Taifa 1
Taifa 1
Mpaka sasa sisi 10-2 Simba.
Kua specific, kipindi cha kwanza kweli hakuna timu iliyocheza mpira mzuri, lakini kipindi cha pili simba wamecheza mpira mzri na ndo mana walitengeneza nafasi nyingiMimi ni simba, tumeshinda ila sijavutiwa na mpira wa simba. Kama wewe umeona wanacheza mpira mzuri basi umepumbazwa na ushabiki.
Haya yalikuwa mazoezi tu, sisi kwa sasa focus iko Algeria.
Asanteni Yanga kwa kututoa jasho.
Mkuu kuna viumbe wameumbiwa uvimilivuNa wewe bado una pumzi baada ya kubakwa? Kweli mazoea yana taabu.
Unaanzaje kubana kwa mnyama...Wamebana mapaja weee... Tumesogeza chupi pembeni tukajaza kwa nguvu.
Inaitwa kimoja cha AfyaMoja linatosha, 3 points kibindoni.
Kazi imebaki kwenye viporo.
Jitoe sasa...
Go fvck youself bitch!Utakuwa na matatizo ya akili nenda milembe kama unataka mpira mzuri nenda Barcelona
Plastic fan tuachie na simba yetu hata tufungwe 100 hatutaacha kuipenda simba