Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaa!!NIVUMILIE MPENZI TU ngoja nishangilie tuu!!!wewe endelea kunionea hurumaa si unajua Dada ako nna wakati mgumu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Unaona sasa mimi nilivyo muungwana wala sikukutania ulivyopigwa kumi?
Wewe kamoja tu jamani unanitoa roho?
Hahaaaaa
Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Wanasheria wa Yanga wanaandaa rufaa kupinga ushindi wa Simba Feb 16, 2019.
Nadhani taratibu haziruhusu mchezaji mmoja kufunga goli moja kwa timu (Al Ahly) na kikundi chake cha ngoma (Yanga) kwa kutumia uwanja ule ule, wiki ile ile, mwezi ule ule, Mwaka ule ule, kipindi kile kile cha pili na kwenye goli lile lile.
Hii ni kama goli moja kuhesabika mara mbili, sheria haziruhusu. Haiwezekani goli moja lihesabike mara mbili kimataifa (al ahly) na ligi ya ndani (yanga).
Bibie msalimie baba mpe hongera.Najua baba yako ni Simba wewe tu umepotea njia.
Pole.
😀😀😀Yanga wakate rufaa. Simba kuvaa nyekundu wakiwa ugenini. Haaaaa haaaa
Najua bibie.Ukipenda chongo linakuwa kengeza.Sijapotea, nipo sehemu sahihi na sijawahi kujuta kuwa shabiki wa kutupwa wa Yanga.
Salamu zimefika, asante.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu hata ingekuwa rufaa haijawahi kutokea matokeo ya mechi ya simba na Yanga yakabadilishwa kwa rufaa...nchi itachafukaAhahahahahahaha nilipata presha rufaa tena nimesoma ndani nimecheka mpk chozi limetoka
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wewe ushahama timu ngapi?Kwanini ujitese ndugu...hamia timu ya ushindi la sivyo utakufa Kwa presha!!
Hahaaa!!NIVUMILIE MPENZI TU ngoja nishangilie tuu!!!wewe endelea kunionea hurumaa si unajua Dada ako nna wakati mgumu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Najua bibie.Ukipenda chongo linakuwa kengeza.
Let me tell u something bro ongezeni dua tuendelee kuwa na ukame wa pesa but trust me kwa kocha huyu ndo tuzishike pesa mkononi fc vita na wale warabu ambao kwa mechi mbili wamewapika viganja viwili kwetu watakuwa wanakula dozen.
Ligi kuu mmeshaangukia pua na FA azam wanawasubiriItabidi ujifanyie tathimini vzr nani kati yetu na nyie benchi litamuhusu mwakani. FA out uku nako ndo usiseme anyway lets wait and see.
Simba ina ubora gani aarrghh..Yanga chini ya Manji haikufungwa goli tano Na Al Ahly....Tambweeeeee
Mliwahi kuwa na pesa kipindi cha Manji, mlifika wapi international level?
Siyo guarantee hiyo bosi, some coaches operate efficiently under small budgets.
Mapato ndio kipaumbele, hapo wanauhakika wakula leo jioniTimu inafungwa na kupoteza pointi zote tatu na bado mashabiki wa timu ya waliofungwa wanaridhika??? Basi kwa kweli Simba hawana mpinzani. Derby ni Derby tu ukifungwa lazima uumie.. unafurahia kufungwa? Basi Yanga washabiki wake wameridhika hadi kufungwa. Hakuna tena upinzani wa jadi.