Ligi Kuu Tanzania Bara: Kagera Sugar yaitandika Simba kwa magoli 2-1

Ligi Kuu Tanzania Bara: Kagera Sugar yaitandika Simba kwa magoli 2-1

Uko sahihi kabisa...marefa wengi wanaibeba Simba kutokana na rushwa...Ndiyo maana hakuna refa (kama sijakosea) kutoka Tanzania ambaye ameteuliwa kuchezesha huko kwenye michuano ya AFCON kule Misri...Wewe fikiria yule kibendera wa mechi ya Yanga na Mtibwa pale Morogoro alivyolikataa 'bao' 'halali' la Yanga kwa kisingizio eti ni offside...hovyo kabisa......
Leo imekuwaje kuwabeba?... Mmelishwa ujinga na Zahera mnasahau timu yenu haiko vzr msimu huu
 
Back
Top Bottom