Ligi Kuu Tanzania Bara: Kagera Sugar yaitandika Simba kwa magoli 2-1

Ligi Kuu Tanzania Bara: Kagera Sugar yaitandika Simba kwa magoli 2-1

Mikia FC wali under rate hii game wakaona wanashinda tu. Yule jamaa aliyekuwa za Mo alichikichia.
 
Poleni sana Lunyasi kwa kufungwa na Timu ya Kagera. Mpira ni dakika tisini. Sherehe ya Pasaka haitakuwa ya furaha kwenu hasa mkifahamika wa Kimataifa.
 
Back
Top Bottom