Acha wafurahi tu mkuu.. pengine kuvua mashati ndio ukawa ubingwa wao msimu huuSijui yanga wanafuraia nini? Wamejitoa ufahamu kwamba simba bado inamechi nyingi na zakutosha kuipa ubingwa asubuitu? Wamesahau kwamba wao wamebakiza mechi 7tu ni hajabu kuchekelea simba wakati kwao ubingwa hawata upata hata kwa dawa.
Zahera kwenye kila mechi anawaza kushinda tu.Tofauti ya hizi timu mbili Ni kuwa Simba inapofungwa kocha wake anakubali matokeo na kuipongeza timu pinzani.
Yanga ikifungwa kocha wake hakubali matokeo na anaishutumu TFF na Clabu ya Simba, kwa kuifungisha timu ya Yanga.
Matusi yatawapa ubingwa...
Simba anabebwa , Yanga anashinda kihalali.
Ndio wimbo wenu.
Kumbe Simba hajawahi kubeba?.. MALINZI FC bhanaKupata ubingwa kwetu siyo issue sana maana tumeisha uchukuwa sana tu, tena bila mizengwe kama mnayofanya ninyi. Tunataka bingwa apatikane kwa merits, siyo kubebwabebwa na tff na vyombo vyake.
Mtibwa nae aliwapa M-Pesa?Jana mikia wametest kucheza bila m pesa walichokipata wenyewe wanajua
.Mtibwa nae aliwapa M-Pesa?
Magoli ya Tambwe ya mkono... utakuwa hujui maana ya kubebwa weweKupata ubingwa kwetu siyo issue sana maana tumeisha uchukuwa sana tu, tena bila mizengwe kama mnayofanya ninyi. Tunataka bingwa apatikane kwa merits, siyo kubebwabebwa na tff na vyombo vyake.
MTIBWA SUGAR
.MTIBWA SUGAR
LIPULI FC
STEND UTD
SIMBA ..
Mkuu unateseka sana tokea jana,next game hakikisha mtandao unasoma vzr ili muepuke fedheha mliopata jana.MTIBWA SUGAR
LIPULI FC
STEND UTD
SIMBA ..
Mawenge huyoMkuu unateseka sana tokea jana,next game hakikisha mtandao unasoma vzr ili muepuke fedheha mliopata jana.
Jana TANESCO hawakukukatia umeme Shadeeya eeh?ππππ halafu kama hawapo leo. Wametulia tuli.
Leo imekuwaje kuwabeba?... Mmelishwa ujinga na Zahera mnasahau timu yenu haiko vzr msimu huu
Simba niya kawaida sawa.. timu iliyochukua ubingwa msimu uliopita imeongeza watu wapya kama:..Timu yetu haikuwa vizuri?? ni nani alikuambia hivyo?? Wewe unaamini kuwa timu yenu iko vizuri?? Kwa kuwa hujui undani wa mazingira ya soka ya Tanzania ndiyo maana unasema hivyo...Na kwa kuwa hujawahi kuongoza soka ya Tanzania ndiyo maana unasema hivyo...Sasa nakwambia hivi usipotoa chochote kwa marefa kwa maana ya refa wa kati na wasiaidizi wake wawili inakula kwako..Yaani nilazima utoe chochote ili marefa wachezeshe kinachoitwa 'fair'..vinginevyo utapigiwa filimbiza offside hata kama hakuna offside..Nyie mnaaminishwa kuwa kuna Zahera anawalisha ujinga Yanga..basi kaa hivyo hivyo na imani yako...Uamini pia kuwa timu yenu iko vizuri...Sasa nakwambia hivi timu ya Simba ya sasa ni ya kawaida sana....
Kweli ni vibabu na ndio vinawala toka msimu juzi.Mechi kumi za CAF Champions League zimewamaliza Vibabu FC walidhani wamemaliza season.. Mtapigwa .
wewe umepoteza game 4 ,mimi 2 . . hapo nani anateseka?Mkuu unateseka sana tokea jana,next game hakikisha mtandao unasoma vzr ili muepuke fedheha mliopata jana.