Ligi Kuu Tanzania Bara | Samora Stadium: Lipuli FC 1 - 3 Simba SC

Dada mzee anafanya wasiyoweza kufanya vijana.

Nilikuwa najenga taifa la Meko ndo nimerudi.

I'm the girl from nowhere,... the one no one will miss .... that's why they choose me...[emoji97]
Ooh. Umerudi muda mzuri sana mdogo wangu. 😅😅

Nawaona nawaona Mikia mnavyotunyima usingizi.
 
Ooh. Umerudi muda mzuri sana mdogo wangu. [emoji28][emoji28]

Nawaona nawaona Mikia mnavyotunyima usingizi.
Utalala Mei Dada kwa sasa kila mtu ashinde mechi zake

I'm the girl from nowhere,... the one no one will miss .... that's why they choose me...[emoji97]
 
Wacha Weee. Kila kitamu ni Simba mwaka huu. Duuh.

Mukija kupata matokeo mabaya pia mujiite vivyo.
Matokeo mabaya yatoke wapi ?

I'm the girl from nowhere,... the one no one will miss .... that's why they choose me...[emoji97]
 
Simba Tunafyonza na kunyonya wakati mmoja

wakati ukuta.
 
Hahaaa. Uje kuyasema haya baada ya mechi na Waarabu Mtani. Usije yakataa tu hasa pale mtakapopangwa.

Hapa tunatafuta style ya jinsi ya kushangilia tukiwa uarabuni, maana ushindi tuna uhakika nao tayari.
 
Huyu Terminator Meddie Kagere hafai hata kidogo.

I'm the girl from nowhere,... the one no one will miss .... that's why they choose me...[emoji97]

Na jinsi anavyotupia Bao/goli kila mchezo nahisi wewe anakufaa sana tu! [emoji23] [emoji23][emoji23]
 
Eti mechi za mazoezi. Mmmh.

Haya bana Mtani. Ila kule Algeria mjipange hasa.

Nakupongeza sana kwa kuchukuwa uwamuzi wa busara kujifariji kwa kuja kula raha kwenye Nyuzi za SIMBA SC

Venginevyo kwenye nyuzi za [emoji196] [emoji196][emoji196] ungeteseka tu na kupata shida kwa Mastress.

Endelea kuwa nasi najua moyoni damu ya Simba inakuingia polepole.

Kule madimbwini utazama mtani.

Kuwa karibu na Muasumini (Simba) ili nawe unukie.
 
Wacha Weee. Kila kitamu ni Simba mwaka huu. Duuh.

Mukija kupata matokeo mabaya pia mujiite vivyo.

Hivi unawaza nini Dada?
Yataanzajeanzaje hayo matokeo mabaya kwa Mfano?

Labda TPL imualike Barcelona kuja kushiriki Ligi! Lakini kwa Vyura na wenziwe tu kwa miaka 50 sidhani kama Simba anawezapata matokeo mabaya
 
Kuna faida ya kucheza CAF Champions Hatua ya Makundi !! Yaani Simba Wanachukua Point kama za mezani kabisa.

Timu inagusa Gozi Hadi Yanga wanahisi Tunawaonea kabisa,, Eti tunanunua mala Tunabebwa.. Yaani hawaongei Lugha Moja , Mkubali au Mkatae Simba Mooootooo!!!
Huyu Medy Kagere anakabwa kama Mwizi lakini Anatupia tu

Simba 1-0 Yanga
Simba 3-0 Lion
Simba 3-1 Azam
Simba 3-1 Lipuli
POINT 12 mechi 4, Goli 10

Tunaenda kwa Wapiga Debe Stendi United Then Uarabuniii

Yanga mtatusamehe Simba Tumekata Break
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…