Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL) - Mkapa Stadium | Yanga SC v Simba SC

23' Kapombeeee anashikwa Jezi, ni free kick kuelekea Yanga SC

Inapigwaaaa inaokolewa na mpira unarudi kati
 
Chama ni mgonjwa Simba wamemlazimisha kucheza kila mpira ukifika kwakwe unapotea kirahisi
 
Nini uko?
uku kijijini kwetu kibanda umiza genereta limegoma kuwaka,
 
Anakwendaaaa Tuisilaaaaa

Penalty kuelekea Simba SC

29' Goooooal

Michael Sarpong anafunga bao kwa Penalty
 
40' Kona kuelekea Yanga SC, inapigwaaaa konaa Metacha anacheza

Wakati huo huo yupo golikipa yupo chini.
 
Simba hamna kazi leo lazima tuwapige goals 7 viazi nyie
 
Pressing ya Yanga ni kubwa sana muda wote wanakimbia Simba wameshindwa kuhadle hii kasi.
 
Ile sio penalt ni nje ya kumi na nane kabisa.
Ilitakiwa iwe free kick na Red card kwa Onyango alikuwa mlinzi wa mwisho.
 
Kapombeeee anapiga krosi...Kibwana anatoa nje na kuwa kona

Inapigwaaaa na inaokolewa
 
Ile sio penalt ni nje ya kumi na nane kabisa.
Ilitakiwa iwe free kick na Red card kwa Onyango alikuwa mlinzi wa mwisho.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mtani unasema ile penalty umeonewa ngoja VAR ijeeeeeeeeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…