Ligi Kuu ya Tanzania Bara: Mbao FC yaitandika Simba SC kwa goli 1-0

Wakuu zangu hawa Mbao si wazee wa Tunguri tu ni Wezi pia.. Nimeibiwa simu yangu.. Hapa natumia simu ya Msemaji wa Timu. Hivyo nitapotea jukwaani kwa muda. Lini nitarudi? Sijajua.

Ahsanteni.
Naomba matokeo mkuu
 
Siti ya mbele kabisa, kuna nini tena maana nipo chaka huku network shida halo halooo unaniskia mkuu
 
Mnyama kalala. Sasa hapa najiwazia tu.

Walisema sijui jana umiliki wa mpira ulikuwaje kuwaje haya leo wao wanaongoza kwa umiliki kipi walichokipata zaidi ya kujichosha tu. Teh teh teh

Poleeeeeni nasema Poleni sana Watani zangu.
Possession sio kila kitu siku hizi...mpira magoli wamemiliki kwa asilimia kubwa lakini washindi ni Mbao Fc


Natabiri mtafutano utaanza kwa mikia Fc
 
Mnyama kalala. Sasa hapa najiwazia tu.

Walisema sijui jana umiliki wa mpira ulikuwaje kuwaje haya leo wao wanaongoza kwa umiliki kipi walichokipata zaidi ya kujichosha tu. Teh teh teh

Poleeeeeni nasema Poleni sana Watani zangu.
Yule sijui Kagere amecheza kweli?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wako wapi wale wazee wa Umiliki mpira. Maana hiyo ndio sifa yao kuu.

Mwisho wa siku holaaaa. [emoji23][emoji23][emoji23]
Haaahhaha umiliki mpiŕa ulimalìzwa na kagera sugar ìle mechi ya mwisho msimu uliopîta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…