Ligi Kuu ya Vodacom (VPL): Yanga SC 3-3 Polisi Tanzania

Molinga nae amesajiliwa kwa pesa ya wananchi
 
Hawa Maproo wa Yanga ni bure kabisa! Ukimuondoa Lamine Moro na Tshishimbi, waliobakia wote pamoja na mwalimu wao Mwinyi Zahera na mwenzake Noel Mwandila wanaifilisi tu timu. Ukimlinganisha Molinga na Makambo, ni duniani na mbinguni.

Wachezaji wengi ni average players! Ni wepesi wa kukamiwa na timu yoyote ile ya ligi kuu. Huwezi kuwalinganisha na wachezaji wa Simba ambao ni wapambanaji mwanzo mwisho. Tukipata ushindi kwenye mechi hii, basi tutakua tumebahatisha tu.
 
Nashauri aingie Ally Ally kuongeza nguvu
 
Aliwataka mwenyew...hakuna alimlazimisha msimu uliopita ndio alikua na wachezaj ambao sio chaguo lake
Hamsini kwa Hamsini mana saa nyingine naona kama wachezaji nao ni wabovu pia..
 
Kweli mkuu ni bora Mapinduzi Balama kuliko maproo wengi waliopo Yanga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…