Usijali niko upande wako leo kwa mkopo..ukilia,tutalia wote..ukicheka tutacheka wote!Wala sijakimbia Mtani. Nipo nasubiria madongo tu leo.
Mungu saidia matokeo yqbaki hivi hivi
Dah ila mechi bado#VPLLeo
Kikosi cha Timu ya Wananchi kitakachoumana dhidi ya polisi tanzania.
View attachment 1222637
Yanga 1-0 polisi tz
Dk 7 mrisho ngassa
Huwa hawakosekani hawa Mkuu.Labda mungu wako wa ccm bila shaka atakusaidia.
Dkk ya 52 Sisi 2 - wao 3
tatizo la YANGA ni ZAHERA sio wachezajiii, fukuza wote kuanza moja sio ujinga
Hatimaye aiseeeMolingaaaa 3