Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Acha aende, tena ametoroka. Ameona Ngasa umri unazidi kwenda na bado ana deni benki! Hongera Samata, hongera Simba kwa kuruhusu wachezaji!Msuva ametorokea Sauzi leo alfajiri eti amepata timu, hivyo msione hiyo listi mkadhani amepumzishwa. Hasha!! Akili ya wachezaji wetu wanaijua wenyewe. Bado kana mkataba na Yanga, sijui watakasaidia kulipa?