Ligi ya Klabu Bingwa Afrika: Simba SC 2 - 1 AS Club Vita | Simba yafuzu kucheza hatua ya mtoano 2019

Simba raha sana,Ila ushauri kwa Manara awasamehe waliokua wanaiponda Simba tuendelee mbele sababu Makampuni makubwa Africa wanaitazama Simba kwaio aache mambo ya ajabu ajabu tutakosa sponsorship badae.
 
Na mie ndio nikionacho Mkuu sababu kama hii issue ya Zahera juzi wameifanya kuwa kuuubwa utadhani ni jambo la ajabu.
 
Goli la pili la SIMBA lililofungwa na CHAMA unalizungumziaje Mwalimu kashasha?
" Hili goli linaitwa pendulum ball insector with round bottom flask passing hii hupigwa mara chache sana Kwa mara ya mwisho ilipigwa na adolf hitler mnamo 1939 "
πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
 
Asante mtani natumaini umeona kitita kilichopo tayari kwa ajili yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…