Van pebles
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 2,861
- 5,305
Nilikuwa nakusubiria uanze kujipendekezaIla ulijua kuogopa Mtani umekuwa kama Sanchez magoli jana ananiambia nimeliacha jukwaa kwa muda mpaka mpira wa saa moja uishe.
Nikasema lol. Kweli As Vital si watu wazuri. [emoji28][emoji28][emoji28]
Hahahaaa. Eti hamna shida. Haya bana lakini.Mashabiki hatuna shida, hivi bado mnatembeza bakuli tuwaombee hapo hata milion 100
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatutawasema mtani, woga wenu tuHahahaaa. Eti hamna shida. Haya bana lakini.
Tunalitembeza ndio ila hata pesa zenu hatuzihitaji maana hapo hamjafika Semi Final tayari mmeanza kusema tunategemea mgongo wenu kuingia Klabu bingwa je mkituchangia si tutakoma na maneno zetu Mtanim
Hahahaa. Pole sana Mtani.Hali ilikuwa mbaya maan mda wote nakukumbuka ww ulivyokuwa n roho mbaya ya maneno
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanata 3B za simba wanyanganywe zipelekwe kujenga Standard Gage nimewasoma
"Ndio mana nashauri achangamkie fursa"Ebu muache Magu atakwapua hizi pesa bureView attachment 1047488
😂😂😂 Ujue sauti yangu ilikauka kwa kushangilia goli la kwanza la Vita nikajua leo mmepatwa. 😂😂😂
Ningetoka ewan kwa siku tatuHahahaa. Pole sana Mtani.
Ndio mpira huo yaani ukawa unawaza namna ya kupotezea Tag zangu. [emoji3][emoji3][emoji3]
Baada ya hapo ukaanza kuona aibu hahah[emoji23][emoji23][emoji23] Ujue sauti yangu ilikauka kwa kushangilia goli la kwanza la Vita nikajua leo mmepatwa. [emoji23][emoji23][emoji23]
Bakini nazo tu wenyewe. Wananchi tunatosha kuichangia na timu ikasimama pia.Hatutawasema mtani, woga wenu tu
"Michezo ni siasa na siasa in michezo"
😀😀😀 ila mi Mzungu bana. 🙈🙈🙈 nisingekusema sana
Umenichekesha sana mkuu. Lakini kwa taarifa yako awamu ya tano imejaa wanasimba.Hajui mpira huyo. Akiongea atasema mlifungwa tano kisha tano tena, nyie mnafunga kamoja. Hamjalipa bado mnadaiwa goli nane. Na atamalizia kwa kusema na NA HUU NDIO UKWELI NA MSEMA UKWELI NI MPENZI WA MUNGU.
Atuachie Simba yetu, aje tukishamaliza kazi kwa sasa akae kimya tu.
Acha tu baada ya kukomboa nkalala na kulala nimekuja kujua matokeo baada ya mechi kwisha tena kutokana na kelele za mashabiki huko nje.
Akomae na mabeberu huko, asisogeze pua huku hata kidogo"Ndio mana nashauri achangamkie fursa"
Mimi ni mwenzio ubingwa bado tunaweza kuupata kabisa ila kwa 'kujipanga' vizuri....Timu yetu kwa sasa ipo hapo ilipo kutokana na nguvu za mtu mmoja- Zahera- ambaye ana uwezo mkubwa wa saikolojia ya wachezaji...ila hasaidiwi...ameanza kuchafuliwa na baadhi ya viongozi wa Simba kwa kumtuhumu hili la lile kwamba alijaribukuisaidia Vita...yeye ni binadamu na anaweza kukata tamaa...hakuna tamko la maana lililotoka kwa wanayanga kushutumu kauli hizi za baadhi ya viongozi wa Simba...ninavyowafahamu Simba sasa hivi wanaandaa mkakati wa kumuondoa Zahera kwa kuwatumia baadhi ya viongozi wa serikali...Simba walianza kuibomoa Yanga kwa kumuondoa Kakolanya kwa mbinu chafu kwa kumtumia wakala wake ambaye ni kiongozi wa Simba...Yanga hawakulalamika officially...suala la Kakolanya lingeweza kumweka pabaya yule wakala...lakini viongozi wa Yanga kwa kuwa hawajui mbinu chafu zinazoelekezwa kwa Yanga wamekaa tu bila kufanya chochote...
Na mie ndio nikionacho Mkuu sababu kama hii issue ya Zahera juzi wameifanya kuwa kuuubwa utadhani ni jambo la ajabu.
"Na Mimi Simba"Umenichekesha sana mkuu. Lakini kwa taarifa yako awamu ya tano imejaa wanasimba.
John Magufuli - Simba
Kassim Majaliwa - Simba
Tulia Acson - Simba
Dr Kigwangalla - Simba
January Makamba - Simba
Ummy Mwalimu - Simba.
Orodha inaendelea na kuendelea.