Ligi ya Klabu Bingwa Afrika: Simba SC 2 - 1 AS Club Vita | Simba yafuzu kucheza hatua ya mtoano 2019

Ligi ya Klabu Bingwa Afrika: Simba SC 2 - 1 AS Club Vita | Simba yafuzu kucheza hatua ya mtoano 2019

Mashabiki hatuna shida, hivi bado mnatembeza bakuli tuwaombee hapo hata milion 100

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa. Eti hamna shida. Haya bana lakini.

Tunalitembeza ndio ila hata pesa zenu hatuzihitaji maana hapo hamjafika Semi Final tayari mmeanza kusema tunategemea mgongo wenu kuingia Klabu bingwa je mkituchangia si tutakoma na maneno zetu Mtanim
 
Ebu muache Magu atakwapua hizi pesa bure
tapatalk_1552812527366.jpeg
 
Mnamuomba hela kuaina?
Yaani unaona kachelewa kutoa zile million za bure anazotembea nazo

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Hahahaaa. Eti hamna shida. Haya bana lakini.

Tunalitembeza ndio ila hata pesa zenu hatuzihitaji maana hapo hamjafika Semi Final tayari mmeanza kusema tunategemea mgongo wenu kuingia Klabu bingwa je mkituchangia si tutakoma na maneno zetu Mtanim
Hatutawasema mtani, woga wenu tu
 
Hajui mpira huyo. Akiongea atasema mlifungwa tano kisha tano tena, nyie mnafunga kamoja. Hamjalipa bado mnadaiwa goli nane. Na atamalizia kwa kusema na NA HUU NDIO UKWELI NA MSEMA UKWELI NI MPENZI WA MUNGU.
Atuachie Simba yetu, aje tukishamaliza kazi kwa sasa akae kimya tu.
Umenichekesha sana mkuu. Lakini kwa taarifa yako awamu ya tano imejaa wanasimba.

John Magufuli - Simba
Kassim Majaliwa - Simba
Tulia Acson - Simba
Dr Kigwangalla - Simba
January Makamba - Simba
Ummy Mwalimu - Simba.

Orodha inaendelea na kuendelea.
 
Mimi ni mwenzio ubingwa bado tunaweza kuupata kabisa ila kwa 'kujipanga' vizuri....Timu yetu kwa sasa ipo hapo ilipo kutokana na nguvu za mtu mmoja- Zahera- ambaye ana uwezo mkubwa wa saikolojia ya wachezaji...ila hasaidiwi...ameanza kuchafuliwa na baadhi ya viongozi wa Simba kwa kumtuhumu hili la lile kwamba alijaribukuisaidia Vita...yeye ni binadamu na anaweza kukata tamaa...hakuna tamko la maana lililotoka kwa wanayanga kushutumu kauli hizi za baadhi ya viongozi wa Simba...ninavyowafahamu Simba sasa hivi wanaandaa mkakati wa kumuondoa Zahera kwa kuwatumia baadhi ya viongozi wa serikali...Simba walianza kuibomoa Yanga kwa kumuondoa Kakolanya kwa mbinu chafu kwa kumtumia wakala wake ambaye ni kiongozi wa Simba...Yanga hawakulalamika officially...suala la Kakolanya lingeweza kumweka pabaya yule wakala...lakini viongozi wa Yanga kwa kuwa hawajui mbinu chafu zinazoelekezwa kwa Yanga wamekaa tu bila kufanya chochote...

Na mie ndio nikionacho Mkuu sababu kama hii issue ya Zahera juzi wameifanya kuwa kuuubwa utadhani ni jambo la ajabu.

Dah! Kiukweli munatia huruma sana
 
Back
Top Bottom