Umekua sasa Shadeeya .wengine hawajui kua mpira sio uadui, ila kwakweli nilishangazwa na wale mashabiki kutoka Kinshasa waliojitokeza kushangilia kwa nguvu sana pale Kazadi alipotupia goli lao pekee nikasema miongoni mwao wewe hukosekani paleππππ
Asante kwa pongezi na wewe pole kwa kupapaswa na Lipuli
Uhauri wa bure; UACHE KUHAMAHAMA TIMU
πππIla TANESCO wanamakusudi sana eeh?πππ
π π π huwa nakula mapema.Hahahah usiniambie haujala chakula cha usiku
Lilikuja baada YA. πTutake radhi bana, inamaana soka la kidigitali linalopigwa hulioni?
Haya bana Mtani.imekwisha mtani sasa hivi nipo zangu Iringa namtafuta SHAMTE nimnulie vinywaji. Comment kwa hisani ya harunaNiyonzima
Nawaza tu Mtani saa ile Vita wanapata goli ulikuwa na hali gani?imekwisha mtani sasa hivi nipo zangu Iringa namtafuta SHAMTE nimnulie vinywaji. Comment kwa hisani ya harunaNiyonzima
Mmmh. Hii kali sasa.Nawakumbusha tu kesho saa mbili asubuhi kila mwenye chombo cha usafiri apige honi, isipokuwa sehemu ambazo haziruhusiwi tu kuipongeza Simba kwa ushindi wa jana
Sent using Jamii Forums mobile app
msema kweli mpenzi wa mungu nilizima TV nikaenda pata supu ya pweza kwa mpemba, baada ya kelele za goli la kusawazisha nikarudi gheto Ku endelea angalia kipindi cha piliNawaza tu Mtani saa ile Vita wanapata goli ulikuwa na hali gani?
Utashangilia kimoyo moyo ama kuitika eya mfano pipipi unaweka eyaMmmh. Hii kali sasa.
Sisi watembea kwa miguu tutafanyaje?
Sasa huoni kua kila siku wajipa simanzi tu? Maana Lunyasi wanaendelea kung'araHii ngumu sana. Labda siku mcheze wenyewe. ππ
Ikipigwa honi itikia eeee kidededaπππMmmh. Hii kali sasa.
Sisi watembea kwa miguu tutafanyaje?
Hahahaaa ukweli waujua lakini hutaki tu kukubali. Waitwa...Lilikuja baada YA. π
Mbona si mageni hayo, kwani Nkana si walianza na wao kupata goli kilichowatokea muulize Mwalimu KashashaπππNawaza tu Mtani saa ile Vita wanapata goli ulikuwa na hali gani?
Baada ya mechi kuisha,ulikumbuka kuitendea haki Supu ya Pweza???msema kweli mpenzi wa mungu nilizima TV nikaenda pata supu ya pweza kwa mpemba, baada ya kelele za goli la kusawazisha nikarudi gheto Ku endelea angalia kipindi cha pili
Kelele zitakata sio kwa sisi kushuka Bali kwa nyinyi kunyanyuka!!Komaeni na timu yenu mfanye vizuri zaidi yetu ndio dawa za kelele kukata sio kutuombea mabayaNatamani mtupiwe zigo la TP Mazembe au Wydade Casablanca ...ili kelel zenu na yule zeruzeru zikate mjini..
Sent using Jamii Forums mobile app
Maono ya kindezindeziSasa huoni kua kila siku wajipa simanzi tu? Maana Lunyasi wanaendelea kung'ara