Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Umekua sasa Shadeeya .wengine hawajui kua mpira sio uadui, ila kwakweli nilishangazwa na wale mashabiki kutoka Kinshasa waliojitokeza kushangilia kwa nguvu sana pale Kazadi alipotupia goli lao pekee nikasema miongoni mwao wewe hukosekani pale😀😀😀😀
Asante kwa pongezi na wewe pole kwa kupapaswa na Lipuli
Uhauri wa bure; UACHE KUHAMAHAMA TIMU
Hii ngumu sana. Labda siku mcheze wenyewe. 😎😎