Ligi ya Mabasi ya NewForce na Sauli hatari, kila mmoja anataka kukaa mbele kivyovyote

Ligi ya Mabasi ya NewForce na Sauli hatari, kila mmoja anataka kukaa mbele kivyovyote

Hao wapumbavu ni kuwaweka ndani miaka 20.
Yani kituo cha mafuta hivyo akigonga sehemu mbaya kidogo si kituo kizima kinateketea.
 
Ni kweli wamepakia mifugo kwani majamaa yapo tu kama panzi ndani ya Gari wanapelekeshwa tu.
Huenda wameshawaambia Matrafiki lakini kama sote tujuavyo ile "amri" ya Raisi kuwa wapewe fedha za kurashia Viatu bado haijatenguliwa na huyu Raisi wa sasa.
 
Akili Zao Wanajua Wenyewe Yaani Issue Kukaa Mbele Wakati Wapo Pamoja
Kila Mtu Ana Kichaa Chake.....
 
Tusiangalie tulipoangukia,tumejikwaa wapi?barabara zetu bado sana na hawa truck drivers ni tatizo pia,angalia pale kuanzia ubungo hadi mbezi wanaendesha upande wa kulia (fast line)wakati walitakiwa wa keep left,iam proud SAULI team,kama hupendi nenda pale CoCo beach jirushe
 
Hao wamegongana juzi hapo ruvu, kumbe hii ndio michezo yao, magari matatu yaliwaka moto
Ndiyo Hao Hao Sauli Libaki Pale Kando
New Force Lipo Mlandizi Kituoni Japo Yote Ni Chuma Chakavu
 
Back
Top Bottom