Ligi ya Mabingwa Afrika nchini eSwatin: Mbabane Swallows 0 - 4 Simba SC

*NASIKIA ule wimbo wa BADO MIKOANI ulioimbwa na jirani zetu basata wameufungia*🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Simba SC imeiangushia dozi nene ya kipigo cha mabao 4-0 timu ya Mbabane Swallows ya eSwatin katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika uliochezwa kwenye Dimba la Mavuso nchini humo!
 
Hapa najiuliza tu kama Hao Mbabane wanafungwa goli nne na Simba je wangekutana na Mbao Fc au Lipuli si wangenyeshewa mvua ya magoli?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…