Ligi ya Mabingwa Afrika | Uwanja wa Taifa, Dar: Simba SC 1-1 UD Songo. Simba yatolewa kwa faida ya goli la ugenini iliyopata UD Songo

Kiukweli hata roho haiumi! Tuna timu bora sana. Simba wasifanye mabadiliko yoyote msimu ujao tunakuwa mabingwa wa Africa!
Mnatimu bora,timu ipi baada ya kufanyika sub ya Dilunga,kule bench kulikuwa hamna mchezaji wa kubadilisha matokeo na wale Wabrazil ni mmepigwa ,wale ni kama wauza miogo wa Coco Beach ila wao Wanauzia Copa Cabana beach Brazil.
 
Umenikumbusha tena Haji alikuwa anaweka picha za dhihaka kabisa eti Yanga ipo Morogoro. Simba team kubwa kuwa na msemaji kama yule ni upumbavu.
 
Hakuna cha mpira kudunda hapo. Wamepigwa tu hawajui mpira. Wanajua taarabu hao. Pamoja na kutolewa utamsikia taarabu zinazowadanganya za manara
Yaani kama zile dkk za mwanzo walipakatwa aisee na wangekuwa makini wale Du Songo wangepata bao mbili za haraka haraka.

Ila kwa hili wamejifunza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…