Wanajituma na kujiamini haswa
Duuh kwahiyo UD Songo ndiye aliyetolewa?umelewa nini Mkuu?Team bora ya wapi? UD songo
Nakubaliana na wewe mkuu ila hakuna sababu ya kukata tamaa, hii timu ikiachwa jinsi ilivyo wachezaji wakizoeana itakuja kufanya maajabuVyovyote iwavyo tumetolewa mkuu, historia itaandika kua Simba ilitupwa nje ya CCL 2019 na UD Songo ya Msumbiji period
Hahahaa!!! Ikiwa nyie mnaojua mmetolewa haitakuwa aibu Mtani.Mtani mmebaki wananchi sasa. Msililetee taifa aibu.
Pole sanaMimi kama shabiki lia lia wa simba, nimeumizwa sana na matokeo ya leo
Sijaamini kilichotokea hadi sasa!
Lakini hatupaswi kulaumu, kilichotupata leo kiwe funzo kesho.
Mtani nini kimetokea huko mjiniHahahaa!!! Ikiwa nyie mnaojua mmetolewa haitakuwa aibu Mtani.
Nina mashaka na wewe ndiye mimi Kwa namna moja au nyingnePole sana
Kama mie Dada yaani leo ntalala kwa raha kabisa na kesho Week naianza shwaaari kabisa.Yaani nina raha mpaka basi. Haji alijiona yeye ndo husababisha ushindi.
Hata car champions mlisemaje na mzungu wenu?Duuh kwahiyo UD Songo ndiye aliyetolewa?umelewa nini Mkuu?
Simba nguvu moja
Simba bingwa 2019/2020
Sifa, kujiamini kulikopitiliza na kusema hovyo, msemaji hawezi akaongelea mambo yao tu hadi aitaje YangaMnapenda sifa sana nyie wakundu wa msimbazi
Anzisha kama walivyofanyaga yanga tuliposuluhu na Rollers. ππππTutumie uzi huu huu au tuanzishe mwingine??
Habari ni kwamba Simba OutKuna habari gani kwani?