maaviiKiukweli hata roho haiumi! Tuna timu bora sana. Simba wasifanye mabadiliko yoyote msimu ujao tunakuwa mabingwa wa Africa!
Aminia mkuu. Watu wanaanza maneno mingi alafu hadi Haji anakata tamaa![emoji109][emoji109][emoji109]
Sijakuelewa Mkuu?Nina mashaka na wewe ndiye mimi Kwa namna moja au nyingne
Sidhani, wako eneo sahihi...haikuwa lengo la simba kuchukua champions ligi, bado hawajafika huko...Nawasikitikia Ibrahim Ajibu na Gadiel Michael Kamagi Mbaga; wamepishana na gari la mshahara
[emoji3]🤣[emoji1][emoji28][emoji2][emoji855]
Bazazi
Kuna aibu kubwa kama zile 5G?
Poleni sana Mikia. There is always next time.
Eti nipo tayari kuwajibika uwanjani alikuwa anacheza namba ngapi,au kwenye Technical bench alikuwepo HAJI MANARA ni mtu wa ajabu sana.Katoa statement ya kishamba kinoma ambayo sikutarajia. Yeye badala ya kuwapa moyo washabiki nae anakuwa kama mashabiki maandazi bana. Yanga tutawatia aibu siku tukikutana, aibu ambayo hamtaisahau! 5-0!
Tulisema kuwa sisi ni mabingwa na Mbute Mbute wanalitambua hilo.Hata car champions mlisemaje na mzungu wenu?
Hahaaa! Na mbumbumbu wenzie walizifurahiaWe are Simba...This is Simba...miaka kumi mfululizo sisi ndio tutakuwa mabingwa....back to back..IGA UFE ...hii ni levvel nyingine...sisi ndio timu bora tukifuatiwa na Azam..nawachukia mno gongowazi..Kambi yetu ni South Africa na siyo Morogoro ambako wachezaji kambini wanagombea chips na mihogo...tutaanza kuokota mataji kama ngao ya jamii...target yetu mwaka huu ni kufika nusu fainali kwenye michuano ya CAF..
Hahahaa!!! Ikiwa nyie mnaojua mmetolewa haitakuwa aibu Mtani.
Katoa statement ya kishamba kinoma ambayo sikutarajia. Yeye badala ya kuwapa moyo washabiki nae anakuwa kama mashabiki maandazi bana. Yanga tutawatia aibu siku tukikutana, aibu ambayo hamtaisahau! 5-0!
Mm ni shabiki wa Simba lakini HII TEAM INATAMBWE KAMA VILE WAMESHACHUKUA CLUB BINGWA TAYAR ISEE...
GUYS MPIRA UWANJANI, MPIRA WA MDOMONI HAUFAI NDO MAANA KILA SIKU TUNAZIDI KUPOROMOKA KATIKA VIWANGO VYA FIFA...TEAM IMEJAA WACHEZAJI WA KIGENI LAKINI HAMNA LOLOTE CHA MAANA PUMBAF SANA SHUBAMITIIIII....NA BORA WAMEFUNGWA ILI WAJIULIZE WAMEKWAMA WAPI.....SIMBA HOYEEEEE!! ILA SIHAMI SIMBA HATA KIDOGO MAANA NIMEIPENDA MWENYEWE...
KAMA WE SHABIKI MWENZANGU USIPITE BILA KUGONGA LIKE HAPA!!! SIMBA MOJA SIMBA DAIMA....TUMETELEZA BADO HATUJAANGUKA!!
Awajibike kwani kocha.?Eti nipo tayari kuwajibika uwanjani alikuwa anacheza namba ngapi,au kwenye Technical bench alikuwepo HAJI MANARA ni mtu wa ajabu sana.
Msalimie mwaju mpekupekumsalimie halima
Na kale ndio kamewaibua kwenye huu uzi.Washukuru kapenati walikopata
Kwa kweli mimi kama Simba Damu tangia babu wa mama na babangu, nashukuru kwa kweli manake tumekufa kishujaa kuliko tungejifanya ujuaji halafu tukaenda kula gwala gwala mwisho wa safari. Sisi ndio Simba bhana! Tuna pua kali za kunusa hatari iliyo mbeleni kuliko ilivyo kawaida!! Mwaka huu CAF wamtafute mwingine wa kwenda kula hamsa hamsa, lakini sio sisi shubamiti zao!!!Hahahaa!!! Ikiwa nyie mnaojua mmetolewa haitakuwa aibu Mtani.