Manala tulia dawa ikuingieWe are Simba...This is Simba...miaka kumi mfululizo sisi ndio tutakuwa mabingwa....back to back..IGA UFE ...hii ni level nyingine...sisi ndio timu bora tukifuatiwa na Azam..nawachukia mno gongowazi..Kambi yetu ni South Africa na siyo Morogoro ambako wachezaji kambini wanagombea chips na mihogo...tutaanza kuokota mataji kama ngao ya jamii...target yetu mwaka huu ni kufika nusu fainali kwenye michuano ya CAF..
CAF ilituma 'wavaa miwani myeusi', wangejichanganya....wangefungiwa maisha.Safari hii haikupulizwa dawa vyumbani?
🙍🏿♂️🙍🏿♂️🙍🏿♂️🙍🏿♂️🙍🏿♂️😂😂😂😂😂CAF ilituma 'wavaa miwani myeusi', wangejichanganya....wangefungiwa maisha.
Tafadhali usijiue rafiki yanguPoa! Tunawatakia nyie wasafiri mliobaki safari njema! Ila leo aisee [emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]
Waaaah [emoji849][emoji15][emoji855]Kiukweli hata roho haiumi! Tuna timu bora sana. Simba wasifanye mabadiliko yoyote msimu ujao tunakuwa mabingwa wa Africa!
Ndege imezamia southMji umepoa sana ni timu ya wananchi tu inatamba,kwa sasa turudi kwenye mada ya ndege kwa Mwenye uelewa kuhusu kukamatwa kwa ndege yetu Kwani yule mkula alivyotuambia kuwa kwa sasa ni yechu yechu kwenye suala la bizinesi ndo katugeuka kisoro namna hiyo?
Kwani wameifunga simba goli ngapi mkuu?He kipigo cha UD Songo kuirudisha Simba matopeni ?
Hamna shida, ninyi mumtoe Zesco basi[emoji16][emoji16]Hahahahaha ndio uwezo wenu ulipoishia hayo mengine hayawahusu
Kwan kagere na yule muhogo mchungu hawakucheza leo?