Ligi ya Mabingwa Afrika | Uwanja wa Taifa, Dar: Simba SC 1-1 UD Songo. Simba yatolewa kwa faida ya goli la ugenini iliyopata UD Songo

Ligi ya Mabingwa Afrika | Uwanja wa Taifa, Dar: Simba SC 1-1 UD Songo. Simba yatolewa kwa faida ya goli la ugenini iliyopata UD Songo

.
68795683_2313287712269444_3896349525832368128_n.jpeg
51732407_2070565576369747_254117362180030464_n.jpeg
53864640_260075791568814_4339337641062301696_n.jpeg
 
Kotei aliwabeba sana pale nyuma. Pengo lake kama liko wazi vile! Halafu walimpotezea Lamine Moro ambaye amekuwa ni lulu upande ule wa pili. Tunawashukuru sana kwa kumfanyia majaribio kwa niaba yetu.
Tumewaachia ninyi Mfike Robo fainali sasa
 
Mabingwa wa ligi kuu Tanzania bara Simba Sports Club wekundu wa msimbazi wametupwa nje ya klabu bingwa barani Afrika na klabu ya UD SONGO kutoka nchini Msumbiji.

Klabu hiyo kutoka kati kati mwa jiji la Dar Es Salaam iliacha gumzo kubwa kipindi cha dirisha la usajili ikichukua wachezaji kutoka Brazili, Sudani na Congo.

Lakini mungu si Athumani Simba imetupwa nje mapema tu, je unadhani klabu hiyo ilifanya maamuzi sahihi ya usajili au ilikuwa ikikurupuka kufanya usajili kila ilipotimu saa saba mchana ??!
Yanga na simba hizi timu siasa ni nyingi na hazitakaa zipate mafanikio mpk siku wanaachana na mambo ya kipuuzi
 
Kutolewa ndyo sio jambo la kawaida ila je unatolewa hatua gani hyo ndo inakuwa issue. Kwa simba iliyofika robo fainal msimu uliopita kuondoka atua ya awali kabisa ni upuuzi wa kiwango cha lami.
Mkuu mpira n kitu kingine,hii sio kombolela yakujificha machakani.
 
We are Simba...This is Simba...miaka kumi mfululizo sisi ndio tutakuwa mabingwa....back to back..IGA UFE ...hii ni level nyingine...sisi ndio timu bora tukifuatiwa na Azam..nawachukia mno gongowazi..Kambi yetu ni South Africa na siyo Morogoro ambako wachezaji kambini wanagombea chips na mihogo...tutaanza kuokota mataji kama ngao ya jamii...target yetu mwaka huu ni kufika nusu fainali kwenye michuano ya CAF..
Hahahahahaha,wallah maneno yangekuwa yanaumba!
 
Jamani eh! Hata Orlando Pirates (ambao ni tajiri zaidi ya Simba yetu na wakiwa wameshawahi kushinda CAF champions league) nao wametolewa.
 
Back
Top Bottom