Ligi ya Mabingwa Afrika | Uwanja wa Taifa, Dar: Simba SC 1-1 UD Songo. Simba yatolewa kwa faida ya goli la ugenini iliyopata UD Songo

Wanadai Taifa ni kaburini eti.

Haya wamzike Du Songo leo tuone. Hahahaahahaaaaa.

Mnyama amelowa chapa chapa! Haamini kama amekosa chakula mpaka sasa! Amefanyiwa suprise ambayo hakuitarajia. Haka katimu kamekuja huku kakiwa kamechomoa kabisa betri.

Ni kushambulia mwanzo mwisho, maana hawana cha kupoteza. Mbaya zaidi sare yoyote ile ya magoli, inawabeba wageni. πŸ—£ Simba mkuje huku, jahazi linazama.
 
Itabidi ale majani maana nyama imekuwa adimu
 
Tukisema wanadai sisi sio watu wa mpira. Leo sio siri wana mlima mrefu Simba.

πŸ—£ Simba mkuje huku, jahazi linazama.
Waje jamaani mana makoo yanatukauka tu hapa. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nimesikiliza vizuri tu nilitaka tu kukuona bwana mm nitarudi baadae nipo busy busy kidogo nisingetokea apa ungeendelea na kelele zako
Nawahesabu Dada we wa pili. Wa kwanza Kaka Mshuza2 kasema naye yuko busy. πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Mm aka katimu nilisema kama kaliweza kucheza vile kule kwao kwenye uwanja mbovu vile vp wakifika taifa kwenye kapeti? Bwana heee simba walikuja na povu la hatari .Anyway mpira ni dakika tisini tungetaka mshinde hii game ili twende wote watatu ila tatizo lenu ni viburi na majivuno yaliyopitiliza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…