steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 10,643
- 12,247
Jamaa mmoja anakujaga huku upareni anasema anakuaga na kina Cisco,anajua jua draft kwani hakunaga anayeweza kumfunga akicheza draftAnatokea wapi huyu jamaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa mmoja anakujaga huku upareni anasema anakuaga na kina Cisco,anajua jua draft kwani hakunaga anayeweza kumfunga akicheza draftAnatokea wapi huyu jamaa
Atakuwa anajua jua,maana ukikaa na hao kina Sisco ,wanaweza kukupa kopi 3 tu ukaenda nazo sehemu utawapiga had wakuogopeJamaa mmoja anakujaga huku upareni anasema anakuaga na kina Cisco,anajua jua draft kwani hakunaga anayeweza kumfunga akicheza draft
Hahaaaaa,ni kweli tena huwa sometimes anawaachia wamfunge anawatamanisha wamuone wa kawaida,halafu baadae anawaambia wacheze la hela,hapo ndipo anapowagonga sasaAtakuwa anajua jua,maana ukikaa na hao kina Sisco ,wanaweza kukupa kopi 3 tu ukaenda nazo sehemu utawapiga had wakuogope
Unaambiwa alikuwa anacheza na kijiji cha Manyanya matulatula wote wenye majina makubwa na akawa anawatoboa!Nitamsubiri bingwa nichuane nae
Yule mkulima wa online walimshindwa?