Ligi ya mabingwa wa draft Tanzania aliyoibuka bingwa dogo sisco

Ligi ya mabingwa wa draft Tanzania aliyoibuka bingwa dogo sisco

Huyu Dogo Sisco ni fundi kweli kweli ila nasubiri sana game yake na Msomali wa Arusha au Ronaldo na Msomali

Hapo kipute kitqpigwa
Derby ya Arusha

Rama 3 vs 3 msomali

Mchezo wa kunazishiana tege 10
 
Huyo sisko hamna kitu aje Sumbawanga kijiwe cha Majumbasita kuna mafundi Hatari kete mbili draft kwisha
Mafundi wa draft Tz kila mkoa wanajulikana

Huko mafundi ni kina nani
 
fundi RAMA bingwa wa Arusha akicheza na mchezaji kutoka DAR ....
FB_IMG_1738007176075.jpg
 
Anapatikana wapi huyo aje akutane na mimi genius of all the time😁😁😁
😂😂😂Mzee utapigwa goli zote,utaambiwa zuia Sare katika michezo 24 ,zuia Sare 10 tu,

Hao jamaa wamemaliza vyumba vyote
 
JUMAPILI kulikuwa na mechi kati ya DOGO SISCO vs SAIYA

ZAWADI, Sh. 120000

UWANJA, Kinondoni manyanya

MUDA, Saa tisa kamili jioni

Mechi ya kisasi hii ikumbukwe kua dogo sisco alimdondosha saiya hatua ya nusu fainali katika kombe lililofanyika pale java.


MECHI ILIISHA KWA SAIYA KUSHINDA 2 KWA 1
 
Unawataka usipiziona kete usije kunilaumu. Hata hivyo hongereni kwa kusimamia mashindano.
 
Mechi yake na Ronaldo, Ronaldo analeta vipwngere

Hata java Ronaldo alipojua Sisco yupo hakushiriki

Msomali hamuwezi sisco
Kama CR7 anamkwepa Sisco why hapo juu ulisema mtu wa kumzuia Sisco angekuwa CR7? Wakati CR7 ameshasanda mapema.
 
Ikumbukwe tu Ronaldo alimkimbia dogo sisco baada ya sisco kutua Dodoma kwa ziara yake mkoani humo..
Cr7 aligomea mechi hiyo ingawa zawadi ilifika milioni mbili na laki saba..cr7 alitaka dau liwe milioni 8
Mnazijua kete mbili tu zinazo itwa gafu strem two on two siri ya draft lote la juu kabisa lipo hapo.. ni genius tu anayeweza kujua hii siri..
 
😂😂😂Mzee utapigwa goli zote,utaambiwa zuia Sare katika michezo 24 ,zuia Sare 10 tu,

Hao jamaa wamemaliza vyumba vyote
Niamini mimi ni mbaya haswa nilicheza draft miaka mingi tena mara chache tu ...siku hizi nikicheza ni siku moja kwa miaka 3...hivyo ninakutaga wabishi midomoni kama wewe lakini uanza kutetemeka hata kabla sijaanza kucheza na baada ya muda mchache wanaanza kunishobokea shombo yote inakwisha
 
Back
Top Bottom