Ligi ya mabingwa wa draft Tanzania aliyoibuka bingwa dogo sisco

Ligi ya mabingwa wa draft Tanzania aliyoibuka bingwa dogo sisco

Habari zenu humu ,wale wapenzi wa DRAFT ,ilifanyika ligi ya MABINGWA wa draft unaowajua wewe hapa TZ ,pale Java Lounge

Bingwa aliibuka dogo SISCO

Mashindano yalianza na hatua za makundi

Katika ligi ya kufungua mwaka wa 2025 waratibu wamewathibitisha washiriki 48 watakaowania kuondoka na kitita cha shiringi milioni moja,

HAYA NDIO MAKUNDI
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻

GROUP A
Issa mamba
Dogo athumani
Master monsta
Mtapa
Kimune
Rilo

GROUP B
Dogo ally
Amanisiri
Dogo jafari
Heriman
Ambundo
Christopher

GROUP C
Simba wa dodoma
Ally white
John kipaji
Saidi maziwa
Makofia
Dogo hamisi

GROUP D
Noeli namaloe (bingwa wa tz)
Iwobi
Geoerge mchunguzi
Dogo fahimu
Montolivo
Tindi kali

GROUP E
Omary kiwembe
Master mjape
Messi
Bingwa wa majohe
Kiduku
Mkubwa beka

GROUP F
Dogo shukuru
Dogo janja
Hemedi gaidi
Master chaula
Cortinyo
General mboma

GROUP G
Nduli
Saiya
Mzee ngapu
Serenge kete
Dogo haji
Kingo

GROUP H
Dogo sisco
Dogo paulo
Mayai
Changu changu
Mjomba shiza
Star dinyo

Katika kila Group watapita wachezaji wawili ili kupata 16 bora Ikumbukwe bingwa wa ligi hiyo kuondoka na shiringi MILIONI MOJA


Maelezo mengine utayapata kwenye Comment
Huyu Athumani ni yule wa maeneo ya Kimara na Mbezi?
 
Huyo ni bigwa wa draft Dar es Salaam sio Tanzania, Dar kwa sasa ni Mkoani tu, kama Katavi
 
Kuna mwamba anasumbua sana Mabibo hostel. Cha kushangaza kwenye mashindano katolewa hatua ya makundi tu.

Anadai alirogwa akawa haoni njia za kupitisha kete. Watu wamecheka sana
Muongo huyo ,hao wanasumbua matula tu, wakiwa kwa vijiwe vyao wanatamba ,Sisco anawapigaga Hadi 10-0
 
Huyu Dogo Sisco ni fundi kweli kweli ila nasubiri sana game yake na Msomali wa Arusha au Ronaldo na Msomali

Hapo kipute kitqpigwa
Mechi yake na Ronaldo, Ronaldo analeta vipwngere

Hata java Ronaldo alipojua Sisco yupo hakushiriki

Msomali hamuwezi sisco
 
Huyu Dogo Sisco ni fundi kweli kweli ila nasubiri sana game yake na Msomali wa Arusha au Ronaldo na Msomali

Hapo kipute kitqpigwa
Unazungumzia huyu jamaa wa Arusha

Mbona akija dar wanampiga sana
FB_IMG_1738006193223.jpg
 
Bingwa ni Sisco
Sasa ni Sisco vipi wakati hata kwenye robo fainal hayupo?

Halafu nao wadhamini gani mshindi milioni 1 tu? Iwage kuanzia milioni 5 mpaka 10. Mchezo unaumiza kichwa huo. Unaweza ukazimia hapo hapo ukiwaza kete kali..

Waandaji waingie front kusaka wadhamini wazito. kampuni kama za bia au Coca, Pepsi hawawezi kukataa kudhamini hata kwa milioni 20 mwanzo mpaka siku ya mwisho
 
Ikumbukwe tu Ronaldo alimkimbia dogo sisco baada ya sisco kutua Dodoma kwa ziara yake mkoani humo..
Cr7 aligomea mechi hiyo ingawa zawadi ilifika milioni mbili na laki saba..cr7 alitaka dau liwe milioni 8
 
Sasa ni Sisco vipi wakati hata kwenye robo fainal hayupo?

Halafu nao wadhamini gani mshindi milioni 1 tu? Iwage kuanzia milioni 5 mpaka 10. Mchezo unaumiza kichwa huo. Unaweza ukazimia hapo hapo ukiwaza kete kali..

Waandaji waingie front kusaka wadhamini wazito. kampuni kama za bia au Coca, Pepsi hawawezi kukataa kudhamini hata kwa milioni 20 mwanzo mpaka siku ya mwisho
Nilirekebisha ,hilo lilikuwa kombe lingine linafanyika makuburi

Kwakweli inabidi wadhamini watafutwe ,mchezo una wadau wengi sana
 
Back
Top Bottom