Ligi ya NBC iko juu kuliko CAF Confederation Cup. Al-Ahly Tripoli walifungwa 2-0 na Biashara United ila wametinga robo fainali na wanaongoza kundi

Ligi ya NBC iko juu kuliko CAF Confederation Cup. Al-Ahly Tripoli walifungwa 2-0 na Biashara United ila wametinga robo fainali na wanaongoza kundi

Al ahly Tripoli ilikuwa ni timu ya kwanza kufuzu robo fainali caf confederation cup mwaka huu baada ya kuichapa pyramid 1-0 kwenye mchezo wa raundi ya tano
Lakini cha kushangaza Al ahly Tripoli hao hao walichezea kichapo cha bao 2-0 kwa biashara united kwenye hatua za mwanzo mwanzo na kilichofanya waendelee kubaki mashindanoni ni 'uzembe' wa Biashara kukosa nauli
Mashindano ya Caf confederation cup ni mepesi kuliko ligi kuu ya NBC ( I STAND TO BE CORRECTED KWA HOJA SIYO MITUSI)
Watu wengi wamekuwa wakijiuliza sababu ya SIMBA kufanya vizuri kimataifa ilhali huku nyumbani wanashindwa kuongoza Ligi. Mimi nasema nadiriki kusema kwamba Kombe la shirikisho ni jepesi kuliko Ligi yetu kubwa ya NBC
MKIMALIZA SHEREHE ZENU ZA KUTIINGA ROBO KARIBUNI KWENYE LIGI


View attachment 2175516
View attachment 2175519
Hoja yako nyepesi sana mkuu, ligi ya NBC na CAF CONFEDERATION WAPI NA WAPI SASA? mechi 6-7-8 za shirikisho vs mechi 30+ za ligi kuu wapi na wapi ? halafu ligi ya confederation ni ya mtoano wakati NBC ni ya kukusanya point mshindi ndio apatikane...

Kufungwa mechi moja tu ndio kipimo cha kufanananisha ligi kweli? mmmh hapana sikubaliani nawe
 
Al ahly Tripoli ilikuwa ni timu ya kwanza kufuzu robo fainali caf confederation cup mwaka huu baada ya kuichapa pyramid 1-0 kwenye mchezo wa raundi ya tano
Lakini cha kushangaza Al ahly Tripoli hao hao walichezea kichapo cha bao 2-0 kwa biashara united kwenye hatua za mwanzo mwanzo na kilichofanya waendelee kubaki mashindanoni ni 'uzembe' wa Biashara kukosa nauli
Mashindano ya Caf confederation cup ni mepesi kuliko ligi kuu ya NBC ( I STAND TO BE CORRECTED KWA HOJA SIYO MITUSI)
Watu wengi wamekuwa wakijiuliza sababu ya SIMBA kufanya vizuri kimataifa ilhali huku nyumbani wanashindwa kuongoza Ligi. Mimi nasema nadiriki kusema kwamba Kombe la shirikisho ni jepesi kuliko Ligi yetu kubwa ya NBC
MKIMALIZA SHEREHE ZENU ZA KUTIINGA ROBO KARIBUNI KWENYE LIGI


View attachment 2175516
View attachment 2175519
Aliyefunga anaongoza ligi aliyefungwa yuko wapi
 
Kwa hiyo kwa upuuzi wako huu unamaanisha Kagera sugar na Mbeya city walioifunga Simba msimu huu NBC league wao ni bora kuliko Simba?, unafikiri ubora wa timu unapimwa kwa mechi moja?.

Yanga amekuwa bingwa na mara ngapi ligi kuu Tanzania, lakini kama unadhani huko CAF ni kwepesi mbona huwa anavuna mabua miaka yote?.

Uwe unatumia akili ipasavyo japo kidogo kuandika upupu wako hapa.
Umenena fact, ningekuwa Mimi mtoa mada ningesalimu amri tu..!
 
Al ahly Tripoli ilikuwa ni timu ya kwanza kufuzu robo fainali caf confederation cup mwaka huu baada ya kuichapa pyramid 1-0 kwenye mchezo wa raundi ya tano
Lakini cha kushangaza Al ahly Tripoli hao hao walichezea kichapo cha bao 2-0 kwa biashara united kwenye hatua za mwanzo mwanzo na kilichofanya waendelee kubaki mashindanoni ni 'uzembe' wa Biashara kukosa nauli
Mashindano ya Caf confederation cup ni mepesi kuliko ligi kuu ya NBC ( I STAND TO BE CORRECTED KWA HOJA SIYO MITUSI)
Watu wengi wamekuwa wakijiuliza sababu ya SIMBA kufanya vizuri kimataifa ilhali huku nyumbani wanashindwa kuongoza Ligi. Mimi nasema nadiriki kusema kwamba Kombe la shirikisho ni jepesi kuliko Ligi yetu kubwa ya NBC
MKIMALIZA SHEREHE ZENU ZA KUTIINGA ROBO KARIBUNI KWENYE LIGI


View attachment 2175516
View attachment 2175519
hahahhahaha unaujua mpira wewe kwamba ubora ni timu ni kumfuga timu flani? kwa hyo simba ilipomfunga alhaly simba ikawa timu nzuri kuliko alhaly
 
Ilikuwa msimu uliopita , hao Al - Ahly tripoli hawajabadilika?? Wapo vile vile tu ?? na je mchezo wa marudiano walicheza??
Mfano. Barcelona ya mwaka jana na ya sasa vipo sawa?
Hiyo timu ya libya wana mafanikio gani Africa tokea ianzishwe, na ligi yetu ina bora kutokana na mafanikio ya Simba au Biashsra?

Mfano: Totenham mwaka huu kamfunga Man city kwake, mpaka sasa nani bora?
Mbeya City kamfunga Simba na katoa sare na Yanga Dar - hadi sasa anaongoza ligi?

Ndugu yangu mpira sio mechi moja , mpira sio ligi ya mechi moja , mpira sio hivyo......

Namungo alingia makundi ambayo hadi leo Azam anaota kuingia - angalia mazingira bahati one match result lakini kwa ujumla wa yoote mpira ni kuvuka hatua hadi hatua.
Simba alimfunga Al Ahly mara mbili - ambaye ni bingwa wa Africa na nafasi tatu duniani
Haina maana Simba bora bali ilikuwa one match only result.
Siwezi kukupa mifano mingi nadhani utaelewa.
 
Al ahly Tripoli ilikuwa ni timu ya kwanza kufuzu robo fainali caf confederation cup mwaka huu baada ya kuichapa pyramid 1-0 kwenye mchezo wa raundi ya tano
Lakini cha kushangaza Al ahly Tripoli hao hao walichezea kichapo cha bao 2-0 kwa biashara united kwenye hatua za mwanzo mwanzo na kilichofanya waendelee kubaki mashindanoni ni 'uzembe' wa Biashara kukosa nauli
Mashindano ya Caf confederation cup ni mepesi kuliko ligi kuu ya NBC ( I STAND TO BE CORRECTED KWA HOJA SIYO MITUSI)
Watu wengi wamekuwa wakijiuliza sababu ya SIMBA kufanya vizuri kimataifa ilhali huku nyumbani wanashindwa kuongoza Ligi. Mimi nasema nadiriki kusema kwamba Kombe la shirikisho ni jepesi kuliko Ligi yetu kubwa ya NBC
MKIMALIZA SHEREHE ZENU ZA KUTIINGA ROBO KARIBUNI KWENYE LIGI


View attachment 2175516
View attachment 2175519
Naunga hoja mkono
 
Al ahly Tripoli ilikuwa ni timu ya kwanza kufuzu robo fainali caf confederation cup mwaka huu baada ya kuichapa pyramid 1-0 kwenye mchezo wa raundi ya tano
Lakini cha kushangaza Al ahly Tripoli hao hao walichezea kichapo cha bao 2-0 kwa biashara united kwenye hatua za mwanzo mwanzo na kilichofanya waendelee kubaki mashindanoni ni 'uzembe' wa Biashara kukosa nauli
Mashindano ya Caf confederation cup ni mepesi kuliko ligi kuu ya NBC ( I STAND TO BE CORRECTED KWA HOJA SIYO MITUSI)
Watu wengi wamekuwa wakijiuliza sababu ya SIMBA kufanya vizuri kimataifa ilhali huku nyumbani wanashindwa kuongoza Ligi. Mimi nasema nadiriki kusema kwamba Kombe la shirikisho ni jepesi kuliko Ligi yetu kubwa ya NBC
MKIMALIZA SHEREHE ZENU ZA KUTIINGA ROBO KARIBUNI KWENYE LIGI


View attachment 2175516
View attachment 2175519
SIO MZIMA WW. MWENDAWAZIMU
 
Al ahly Tripoli ilikuwa ni timu ya kwanza kufuzu robo fainali caf confederation cup mwaka huu baada ya kuichapa pyramid 1-0 kwenye mchezo wa raundi ya tano
Lakini cha kushangaza Al ahly Tripoli hao hao walichezea kichapo cha bao 2-0 kwa biashara united kwenye hatua za mwanzo mwanzo na kilichofanya waendelee kubaki mashindanoni ni 'uzembe' wa Biashara kukosa nauli
Mashindano ya Caf confederation cup ni mepesi kuliko ligi kuu ya NBC ( I STAND TO BE CORRECTED KWA HOJA SIYO MITUSI)
Watu wengi wamekuwa wakijiuliza sababu ya SIMBA kufanya vizuri kimataifa ilhali huku nyumbani wanashindwa kuongoza Ligi. Mimi nasema nadiriki kusema kwamba Kombe la shirikisho ni jepesi kuliko Ligi yetu kubwa ya NBC
MKIMALIZA SHEREHE ZENU ZA KUTIINGA ROBO KARIBUNI KWENYE LIGI


View attachment 2175516
View attachment 2175519
Urudishwe Milembe ukapimwe tena . Hujapona sawasawa
 
Back
Top Bottom