Ligi ya NBC iko juu kuliko CAF Confederation Cup. Al-Ahly Tripoli walifungwa 2-0 na Biashara United ila wametinga robo fainali na wanaongoza kundi

Ligi ya NBC iko juu kuliko CAF Confederation Cup. Al-Ahly Tripoli walifungwa 2-0 na Biashara United ila wametinga robo fainali na wanaongoza kundi

Sijaongelea mechi moja, Nimezungumzia timu za NBC ambapo biashara amemchapa Al ahly Tripoli , Simba kutoka NBC premier league amewachapa RSB, ASEC, USGN na hata al ahly kipindi kilichopita na nyie nyie makolo mliwahi kuleta nyuzi za ligi ya Tanzania kuwa ya TISA
maswala ya simba na yanga ukikuta yanazungumziwa ata proffesa huwa hana tofauti na mtu wa la saba tuishie hapo mpiga makelele
 
maswala ya simba na yanga ukikuta yanazungumziwa ata proffesa huwa hana tofauti na mtu wa la saba tuishie hapo mpiga makelele
Hii kitu huwa nawaambia watu wengi. Sijui wana nini hawa watu kinawapata kichwani kwao wakianza kuongelea mambo ya Simba na Yanga. Akili zao huruka na sijui huwaza kwa kutumia nini maana hata masaburi hapa hayafikii😄😄🤣
 
Kama ni hivyo basi Rivers utd angekuwa ndie bingwa mtarajiwa wa CAF Confederation maana alimfunga nje ndani anaengoza ligi ya NBC, lakini huyo Rivers utd hata makundi tu ya Confederation au champions hajaingia. Je unasemaje hapo?
Sikubaliani na hoja ya mwenye Uzi, na vile vile utetezi wako wa kupinga hoja yake kwa kuzihusisha mechi mbili za Yanga na Rivers.
Huoni kwamba mafanikio ya Yanga kwenye NBC kwa kiasi kikubwa yamechangiwa na wachezaji ambao hawakushiriki kwenye zile mechi mbili?.
 
Sikubaliani na hoja ya mwenye Uzi, na vile vile utetezi wako wa kupinga hoja yake kwa kuzihusisha mechi mbili za Yanga na Rivers.
Huoni kwamba mafanikio ya Yanga kwenye NBC kwa kiasi kikubwa yamechangiwa na wachezaji ambao hawakushiriki kwenye zile mechi mbili?.
Haya ngoja twende hivi basi; Wachezaji ambao hawakushiriki dhidi ya rivers utd ni 3 ( Aucho, Mayele na Djuma) lakini hawa wachezaji 3 walikuwepo mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Zanaco ambapo yanga ilifungwa ikiwa nyumbani. Zanaco imeshika mkia kwenye kundi lake ambalo limeongozwa na Al ahly Tripol na pia huyo Zanaco kafungwa mechi zote mbili na Al ahly tripoli.

Nasisitiza , Al ahly Tripoli kamfunga Zanaco home and away. Zanaco alimfunga huyu anaeongoza ligi ya NBC akiwa na kikosi chake hiki hiki anachoshindia ligi. Je hapo vipi , NBC ni ngumu kuliko CAF Confederation?
 
Wewe mwenyewe umeandika ujinga ndio maana umejihami usitukanwe.Ila kwa ujinga huu na utukanwe tu.
 
Haya ngoja twende hivi basi; Wachezaji ambao hawakushiriki dhidi ya rivers utd ni 3 ( Aucho, Mayele na Djuma) lakini hawa wachezaji 3 walikuwepo mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Zanaco ambapo yanga ilifungwa ikiwa nyumbani. Zanaco imeshika mkia kwenye kundi lake ambalo limeongozwa na Al ahly Tripol na pia huyo Zanaco kafungwa mechi zote mbili na Al ahly tripoli.

Nasisitiza , Al ahly Tripoli kamfunga Zanaco home and away. Zanaco alimfunga huyu anaeongoza ligi ya NBC akiwa na kikosi chake hiki hiki anachoshindia ligi. Je hapo vipi , NBC ni ngumu kuliko CAF Confederation?
Ile ni mechi ya kirafiki haichukuliwi serious kihivyo na ndio maana unakuta sub zinakuwa zaidi ya zile zilizoruhusiwa.

Mfano wako huu kama isingekuwa mechi ya kirafiki nisingekuwa na maneno tena hapo maana ingekuwa ni vivid example ulio bora kabisa.
 
Back
Top Bottom