Ligi ya NBC iko juu kuliko CAF Confederation Cup. Al-Ahly Tripoli walifungwa 2-0 na Biashara United ila wametinga robo fainali na wanaongoza kundi

Ligi ya NBC iko juu kuliko CAF Confederation Cup. Al-Ahly Tripoli walifungwa 2-0 na Biashara United ila wametinga robo fainali na wanaongoza kundi

Ilikuwa msimu uliopita , hao Al - Ahly tripoli hawajabadilika?? Wapo vile vile tu ?? na je mchezo wa marudiano walicheza??
Mfano. Barcelona ya mwaka jana na ya sasa vipo sawa?
Hiyo timu ya libya wana mafanikio gani Africa tokea ianzishwe, na ligi yetu ina bora kutokana na mafanikio ya Simba au Biashsra?

Mfano: Totenham mwaka huu kamfunga Man city kwake, mpaka sasa nani bora?
Mbeya City kamfunga Simba na katoa sare na Yanga Dar - hadi sasa anaongoza ligi?

Ndugu yangu mpira sio mechi moja , mpira sio ligi ya mechi moja , mpira sio hivyo......

Namungo alingia makundi ambayo hadi leo Azam anaota kuingia - angalia mazingira bahati one match result lakini kwa ujumla wa yoote mpira ni kuvuka hatua hadi hatua.
Simba alimfunga Al Ahly mara mbili - ambaye ni bingwa wa Africa na nafasi tatu duniani
Haina maana Simba bora bali ilikuwa one match only result.
Siwezi kukupa mifano mingi nadhani utaelewa

Ilikuwa msimu uliopita , hao Al - Ahly tripoli hawajabadilika?? Wapo vile vile tu ?? na je mchezo wa marudiano walicheza??
Mfano. Barcelona ya mwaka jana na ya sasa vipo sawa?
Hiyo timu ya libya wana mafanikio gani Africa tokea ianzishwe, na ligi yetu ina bora kutokana na mafanikio ya Simba au Biashsra?

Mfano: Totenham mwaka huu kamfunga Man city kwake, mpaka sasa nani bora?
Mbeya City kamfunga Simba na katoa sare na Yanga Dar - hadi sasa anaongoza ligi?

Ndugu yangu mpira sio mechi moja , mpira sio ligi ya mechi moja , mpira sio hivyo......

Namungo alingia makundi ambayo hadi leo Azam anaota kuingia - angalia mazingira bahati one match result lakini kwa ujumla wa yoote mpira ni kuvuka hatua hadi hatua.
Simba alimfunga Al Ahly mara mbili - ambaye ni bingwa wa Africa na nafasi tatu duniani
Haina maana Simba bora bali ilikuwa one match only result.
Siwezi kukupa mifano mingi nadhani utaelewa.
Simba aliimfinga AL ahly mara mbili pia nakumbuka Yanga pia alimfunga al ahly yote hii inadhihirisha ubora wa ligi yetu
 
hahahhahaha unaujua mpira wewe kwamba ubora ni timu ni kumfuga timu flani? kwa hyo simba ilipomfunga alhaly simba ikawa timu nzuri kuliko alhaly
Sijaongelea mechi moja, Nimezungumzia timu za NBC ambapo biashara amemchapa Al ahly Tripoli , Simba kutoka NBC premier league amewachapa RSB, ASEC, USGN na hata al ahly kipindi kilichopita na nyie nyie makolo mliwahi kuleta nyuzi za ligi ya Tanzania kuwa ya TISA
 
Yanga mwaka juzi mli draw na Township ship rollers ya Botswana mkaenda kwao mkatolewa kirahisi katika hatua za awali, mwaka huu mmepigwa nje ndani na rivers United kwenye hatua za awali kwa hiyo mna ubora gani?
 
Sijaongelea mechi moja, Nimezungumzia timu za NBC ambapo biashara amemchapa Al ahly Tripoli , Simba kutoka NBC premier league amewachapa RSB, ASEC, USGN na hata al ahly kipindi kilichopita na nyie nyie makolo mliwahi kuleta nyuzi za ligi ya Tanzania kuwa ya TISA
sasa naona umuhimu wa matumizi ya kondomu. kama mzazi wako angetumia kondom leo hii usingekuwa unachafua jina lake namna hii.
 
Kama ni hivyo basi Rivers utd angekuwa ndie bingwa mtarajiwa wa CAF Confederation maana alimfunga nje ndani anaengoza ligi ya NBC, lakini huyo Rivers utd hata makundi tu ya Confederation au champions hajaingia. Je unasemaje hapo?
Bora wewe Mkuu unajaribu kujibu hoja za mtoa Mada....!
Nimesoma comments za wadau hapo juu, kuna watu ni Zero brain kabisa.
 
Ndizo hoja ninazitarajia sana kutoka kwa wachunga ng'ombe,wao starehe ya mpira ni maneno maneno tu
 
Back
Top Bottom