Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
Makolo yamepanic kwenye huu uzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemjibu kama naibu spika vile.Kama ni hivyo basi Rivers utd angekuwa ndie bingwa mtarajiwa wa CAF Confederation maana alimfunga nje ndani anaengoza ligi ya NBC, lakini huyo Rivers utd hata makundi tu ya Confederation au champions hajaingia. Je unasemaje hapo?
Ilikuwa msimu uliopita , hao Al - Ahly tripoli hawajabadilika?? Wapo vile vile tu ?? na je mchezo wa marudiano walicheza??
Mfano. Barcelona ya mwaka jana na ya sasa vipo sawa?
Hiyo timu ya libya wana mafanikio gani Africa tokea ianzishwe, na ligi yetu ina bora kutokana na mafanikio ya Simba au Biashsra?
Mfano: Totenham mwaka huu kamfunga Man city kwake, mpaka sasa nani bora?
Mbeya City kamfunga Simba na katoa sare na Yanga Dar - hadi sasa anaongoza ligi?
Ndugu yangu mpira sio mechi moja , mpira sio ligi ya mechi moja , mpira sio hivyo......
Namungo alingia makundi ambayo hadi leo Azam anaota kuingia - angalia mazingira bahati one match result lakini kwa ujumla wa yoote mpira ni kuvuka hatua hadi hatua.
Simba alimfunga Al Ahly mara mbili - ambaye ni bingwa wa Africa na nafasi tatu duniani
Haina maana Simba bora bali ilikuwa one match only result.
Siwezi kukupa mifano mingi nadhani utaelewa
Simba aliimfinga AL ahly mara mbili pia nakumbuka Yanga pia alimfunga al ahly yote hii inadhihirisha ubora wa ligi yetuIlikuwa msimu uliopita , hao Al - Ahly tripoli hawajabadilika?? Wapo vile vile tu ?? na je mchezo wa marudiano walicheza??
Mfano. Barcelona ya mwaka jana na ya sasa vipo sawa?
Hiyo timu ya libya wana mafanikio gani Africa tokea ianzishwe, na ligi yetu ina bora kutokana na mafanikio ya Simba au Biashsra?
Mfano: Totenham mwaka huu kamfunga Man city kwake, mpaka sasa nani bora?
Mbeya City kamfunga Simba na katoa sare na Yanga Dar - hadi sasa anaongoza ligi?
Ndugu yangu mpira sio mechi moja , mpira sio ligi ya mechi moja , mpira sio hivyo......
Namungo alingia makundi ambayo hadi leo Azam anaota kuingia - angalia mazingira bahati one match result lakini kwa ujumla wa yoote mpira ni kuvuka hatua hadi hatua.
Simba alimfunga Al Ahly mara mbili - ambaye ni bingwa wa Africa na nafasi tatu duniani
Haina maana Simba bora bali ilikuwa one match only result.
Siwezi kukupa mifano mingi nadhani utaelewa.
Sijaongelea mechi moja, Nimezungumzia timu za NBC ambapo biashara amemchapa Al ahly Tripoli , Simba kutoka NBC premier league amewachapa RSB, ASEC, USGN na hata al ahly kipindi kilichopita na nyie nyie makolo mliwahi kuleta nyuzi za ligi ya Tanzania kuwa ya TISAhahahhahaha unaujua mpira wewe kwamba ubora ni timu ni kumfuga timu flani? kwa hyo simba ilipomfunga alhaly simba ikawa timu nzuri kuliko alhaly
Yanga ya mayelekwanza jiulize, east africa kuna team gani zaidi ya simba?
Nilijua uko well minded kumbe kichwan uko emptyYanga ya mayele
Bora angekuwa empty angekuwa na uwezo wa kujifunza huyu amejaa matopee kabisa.Nilijua uko well minded kumbe kichwan uko empty
naona utopolo,nyani na mbwa wamejaa humu sijui kwa nini.............Makolo yamepanic kwenye huu uzi
[emoji3]Agoro Nduru alikuwa na akili. ila ndo hivyo tena maskini... wakati flani ng'ombe mweupe huzaa mtoto mweusi.
sasa naona umuhimu wa matumizi ya kondomu. kama mzazi wako angetumia kondom leo hii usingekuwa unachafua jina lake namna hii.Sijaongelea mechi moja, Nimezungumzia timu za NBC ambapo biashara amemchapa Al ahly Tripoli , Simba kutoka NBC premier league amewachapa RSB, ASEC, USGN na hata al ahly kipindi kilichopita na nyie nyie makolo mliwahi kuleta nyuzi za ligi ya Tanzania kuwa ya TISA
luc Eymael leo angekuwepo Yanga angesema Yanga ni Ng'ombe kuongezea aliposema ni Mbwa na Nyani.....Yanga ya mayele
Bora wewe Mkuu unajaribu kujibu hoja za mtoa Mada....!Kama ni hivyo basi Rivers utd angekuwa ndie bingwa mtarajiwa wa CAF Confederation maana alimfunga nje ndani anaengoza ligi ya NBC, lakini huyo Rivers utd hata makundi tu ya Confederation au champions hajaingia. Je unasemaje hapo?
Endapo ingeletwa
Hoja takataka.LAKINI MGEJIBU HOJA KWANZA
Changamoto: vigezo alivyotumia kushindanisha ni ILLOGICHoja ni NBC premier league ni shindani kuliko CAF Confederation. Discuss