Ligi ya Uingereza ipigwe marufuku kuonyeshwa hapa Tanzania . Ni kwa kusapoti ushoga

Ligi ya Uingereza ipigwe marufuku kuonyeshwa hapa Tanzania . Ni kwa kusapoti ushoga

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Tuige mfano wa Donald Trump. Amepiga biashara ya ushoga kufundishwa mashuleni kwa kuwapa sapoti Mashoga.

Huu ni upuuuzi
image_search_1733079863510.jpg
 
YESU KRISTO alisema mchawi aendelee kuloga sana muongo aendelee kiongopa sana na shoga afanye ushoga wake

Na mtenda mema aendelee kutenda mema
Hii dunia ina watu wote wema na waovu kwahiyo pambania iman ya kudumu katika mema

Kila mtu atalipwa kadri ya matendo yake
 
Back
Top Bottom