Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
PrimitiveMimi situmiagi iPhone ama bidhaa yoyote ya apple. Pia siangalii live EPL bali nafuatilia matokeo na highlights baada ya mechi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PrimitiveMimi situmiagi iPhone ama bidhaa yoyote ya apple. Pia siangalii live EPL bali nafuatilia matokeo na highlights baada ya mechi.
Kwa uelewa wako unadhani hicho ndico anacho maanisha?Kwa hiyo ukitumia iphone ndiyo unakuwa shoga
Hawajaanza leo, misimu kama mitatu iliyopita, kule kwa ni rules, hata kama wengi wa wachezaji hawa support ila inawabidiNimeona team captains na marefa wamevaa huo ujinga
Huyu nani ati?Tuige mfano wa Donald Trump. Amepiga biashara ya ushoga kufundishwa mashuleni kwa kuwapa sapoti Mashoga.
Huu ni upuuuzi
View attachment 3166803
You see shida ndio hiko apo just because naupenda mpira, nashabikia mpira haimaanishi na support hayo mamboMtaliwa makalio sana kwa kuiga maisha ya kishetani
Kitambaa kinachohamasisha ushetani kitumike kwenye michezo ili iweje? Kuhamasisha ushetani? Tundu la kunyea mwanaume liwe la kumwagiwa shahawa?You see shida ndio hiko apo just because naupenda mpira, nashabikia mpira haimaanishi na support hayo mambo
Wachezaji wengi epl hawa support hayo but regulation ikiwabana hawawez acha kucheza mpira, hawa end career zao sababu wamevaa kijitambaa fulani
Watu wanashabikia mpira si kitambaa fulani kisicho saidia chochote uwanjani.
Ulikuwa wapi misimu mitatu iliyopita walipoanza kuvaa hivi?
Ndio maana nikasema tuwe na Kiongozi kama Donald Trump ambae amekataa ujinga kama huu.Mimi toka walipo leta huo ujinga niliachana nao kabsa
Nb:
Kitu ukiwa unakitazama sana kwa ubongo wetu ulivo ufajikuta kinakukaa kichwa na unaanza kukuiga au hata kukitetea maana unaona ni sawa tu ila kwa dunia ya sasa hivi hayo mambo hayaepukiki na yatakuepo sana sasa ni wewe tu kufanya maamuzi ya kuyakubali au kuyakataa.
Ushetani ni concept unayoikomalia wewe, kule wenyewe hawana shida nao, haushushi uchumi wa nchi, hauvurugi amani ya nchi? Hauwaletei shida kiusalama.Kitambaa kinachohamasisha ushetani kitumike kwenye michezo ili iweje? Kuhamasisha ushetani? Tundu la kunyea mwanaume liwe la kumwagiwa shahawa?
Hivi kuna watu wanalazimishwa kuangalia hiyo ligi? Uraibu wenu ndiyo unawaponzaTuige mfano wa Donald Trump. Amepiga biashara ya ushoga kufundishwa mashuleni kwa kuwapa sapoti Mashoga.
Huu ni upuuuzi
View attachment 3166803
Trump anayekuzidi kila kitu ameona ushetani. Wewe kisa unataka kuona goli huoni madhara namna watoto wanavyoharibiwa wakiwa wadogo bila ridhaa yao.Ushetani ni concept unayoikomalia wewe, kule wenyewe hawana shida nao, haushushi uchumi wa nchi, hauvurugi amani ya nchi? Hauwaletei shida kiusalama.
You see wewe ndio unaona ushetani sababu ni kinyume na mila na desturi zetu
Lakini ni desturi zetu si zao
Kwa wapenzi wa mpira , inakuharibu vipi wakati lengo ni kuona magoli? Team ikishinda, soka la hali ya juu?
Does it mean unaangalia ushetani?
Shoga wa uingereza anakuhusu nini hadi mpige kelele?Mtaliwa makalio sana kwa kuiga maisha ya kishetani
Wewe uliezoe shahawa za wanaume wenzako huoni madhara. Mungu aliumba hilo tundu ili uwe unakunya tu.Kwani shoga ana madhara gani kwako hadi uumie. Kwanza hizo rangi sio za mashoga ni mjumuisho wa jinsia mbalimbali za kimaumbile. Acha ubaguzi, kila mmoja duniani anastahili kufurahia namna alivyoumbwa.
Niko pale kushangilia michezo, soka la kimataifa. Hamaanishi nafurahi mengine hapanaTrump anayekuzidi kila kitu ameona ushetani. Wewe kisa unataka kuona goli huoni madhara namna watoto wanavyoharibiwa wakiwa wadogo bila ridhaa yao.
Ushoga una madhara kwa mtu husika na jamii pia.Kwani shoga ana madhara gani kwako hadi uumie. Kwanza hizo rangi sio za mashoga ni mjumuisho wa jinsia mbalimbali za kimaumbile. Acha ubaguzi, kila mmoja duniani anastahili kufurahia namna alivyoumbwa.
The point is to remove gay flags. Kama wanapigwa miti huko machakani sawa. Sio kuhamasisha ushenzi.Niko pale kushangilia michezo, soka la kimataifa. Hamaanishi nafurahi mengine hapana
So siwez kuscha kupata burudani,
Kuna muda wa kupambana na hayo mambo.
Trump amefanya nini kuhusu hayo? Unadhani atabadili lolote ?
Kwa taarifa yako amechagua scott bessent kuongoza treasury department. Huyo bwana ni tajiri na ni GAy (shoga)
Amechagua richard grenell kuwa acting director of intelligence, huyu nae ni shoga
Amenchagua na mwingine transgender kwenye masuala ya sheria
Ku remove gay flags huku una elect hao hao kwenye team yako ya uongozi ni upumbavu.The point is to remove gay flags. Kama wanapigwa miti huko machakani sawa. Sio kuhamasisha ushenzi.