Ligi ya Uingereza ipigwe marufuku kuonyeshwa hapa Tanzania . Ni kwa kusapoti ushoga

Ligi ya Uingereza ipigwe marufuku kuonyeshwa hapa Tanzania . Ni kwa kusapoti ushoga

Mtaliwa makalio sana kwa kuiga maisha ya kishetani
You see shida ndio hiko apo just because naupenda mpira, nashabikia mpira haimaanishi na support hayo mambo

Wachezaji wengi epl hawa support hayo but regulation ikiwabana hawawez acha kucheza mpira, hawa end career zao sababu wamevaa kijitambaa fulani

Watu wanashabikia mpira si kitambaa fulani kisicho saidia chochote uwanjani.

Ulikuwa wapi misimu mitatu iliyopita walipoanza kuvaa hivi?
 
You see shida ndio hiko apo just because naupenda mpira, nashabikia mpira haimaanishi na support hayo mambo

Wachezaji wengi epl hawa support hayo but regulation ikiwabana hawawez acha kucheza mpira, hawa end career zao sababu wamevaa kijitambaa fulani

Watu wanashabikia mpira si kitambaa fulani kisicho saidia chochote uwanjani.

Ulikuwa wapi misimu mitatu iliyopita walipoanza kuvaa hivi?
Kitambaa kinachohamasisha ushetani kitumike kwenye michezo ili iweje? Kuhamasisha ushetani? Tundu la kunyea mwanaume liwe la kumwagiwa shahawa?
 
Mimi toka walipo leta huo ujinga niliachana nao kabsa
Nb:
Kitu ukiwa unakitazama sana kwa ubongo wetu ulivo ufajikuta kinakukaa kichwa na unaanza kukuiga au hata kukitetea maana unaona ni sawa tu ila kwa dunia ya sasa hivi hayo mambo hayaepukiki na yatakuepo sana sasa ni wewe tu kufanya maamuzi ya kuyakubali au kuyakataa.
 
Mimi toka walipo leta huo ujinga niliachana nao kabsa
Nb:
Kitu ukiwa unakitazama sana kwa ubongo wetu ulivo ufajikuta kinakukaa kichwa na unaanza kukuiga au hata kukitetea maana unaona ni sawa tu ila kwa dunia ya sasa hivi hayo mambo hayaepukiki na yatakuepo sana sasa ni wewe tu kufanya maamuzi ya kuyakubali au kuyakataa.
Ndio maana nikasema tuwe na Kiongozi kama Donald Trump ambae amekataa ujinga kama huu.
 
Kitambaa kinachohamasisha ushetani kitumike kwenye michezo ili iweje? Kuhamasisha ushetani? Tundu la kunyea mwanaume liwe la kumwagiwa shahawa?
Ushetani ni concept unayoikomalia wewe, kule wenyewe hawana shida nao, haushushi uchumi wa nchi, hauvurugi amani ya nchi? Hauwaletei shida kiusalama.
You see wewe ndio unaona ushetani sababu ni kinyume na mila na desturi zetu
Lakini ni desturi zetu si zao

Kwa wapenzi wa mpira , inakuharibu vipi wakati lengo ni kuona magoli? Team ikishinda, soka la hali ya juu?
Does it mean unaangalia ushetani?
 
Ushetani ni concept unayoikomalia wewe, kule wenyewe hawana shida nao, haushushi uchumi wa nchi, hauvurugi amani ya nchi? Hauwaletei shida kiusalama.
You see wewe ndio unaona ushetani sababu ni kinyume na mila na desturi zetu
Lakini ni desturi zetu si zao

Kwa wapenzi wa mpira , inakuharibu vipi wakati lengo ni kuona magoli? Team ikishinda, soka la hali ya juu?
Does it mean unaangalia ushetani?
Trump anayekuzidi kila kitu ameona ushetani. Wewe kisa unataka kuona goli huoni madhara namna watoto wanavyoharibiwa wakiwa wadogo bila ridhaa yao.
 
Mtaliwa makalio sana kwa kuiga maisha ya kishetani
Shoga wa uingereza anakuhusu nini hadi mpige kelele?
Mbona hapa kwenu kila siku mnaambiwa kuwa mna viongozi mashoga na wasagaji lakini ndio hao hao mnawapigia chapuo kila siku bila kukoma?
Wakitajwa mnasema watu hawana heshima lakini nyie kuvaa ribbon tuu mkononi mna mind kama nini!
Ondoeni boring kwenye jicho lenu ndio muone kibanzi EPL, ebo!
 
Kwani shoga ana madhara gani kwako hadi uumie. Kwanza hizo rangi sio za mashoga ni mjumuisho wa jinsia mbalimbali za kimaumbile. Acha ubaguzi, kila mmoja duniani anastahili kufurahia namna alivyoumbwa.
Wewe uliezoe shahawa za wanaume wenzako huoni madhara. Mungu aliumba hilo tundu ili uwe unakunya tu.
 
Trump anayekuzidi kila kitu ameona ushetani. Wewe kisa unataka kuona goli huoni madhara namna watoto wanavyoharibiwa wakiwa wadogo bila ridhaa yao.
Niko pale kushangilia michezo, soka la kimataifa. Hamaanishi nafurahi mengine hapana
So siwez kuscha kupata burudani,
Kuna muda wa kupambana na hayo mambo.

Trump amefanya nini kuhusu hayo? Unadhani atabadili lolote ?
Kwa taarifa yako amechagua scott bessent kuongoza treasury department. Huyo bwana ni tajiri na ni GAy (shoga)
Amechagua richard grenell kuwa acting director of intelligence, huyu nae ni shoga
Amenchagua na mwingine transgender kwenye masuala ya sheria
 
Kwani shoga ana madhara gani kwako hadi uumie. Kwanza hizo rangi sio za mashoga ni mjumuisho wa jinsia mbalimbali za kimaumbile. Acha ubaguzi, kila mmoja duniani anastahili kufurahia namna alivyoumbwa.
Ushoga una madhara kwa mtu husika na jamii pia.

Most homosexual men wapo katika high risk ya STIs na STDs Due to anal sex which is unnatural.

Pia wapo katika high risk ya Colorectal cancer hii ni according to Medicine.

Kwa Jamii Inamadhara sababu Ushoga sio tuu ni Tabia bali ni Harakati na Juhudi za kushawishi Wengine hivyo Ni jambo linalopigiwa chapuo lienee katika Jamii. Kwamba ni haki.

NB hakuna aliezaliwa ni Shoga.

Ushoga ni Tabia Mtu anajifunza.
Hakuna internal influence ya Mtu kuwa Shoga hakuna masuala ya Sijui Hormone sijui Genes hayapo hizo ni propaganda ili kuhalalisha Upuuzi.

Mtoto wa kiume aliezaliwa ni wakiume kabisa hana shida yoyote ukimlea ki kike kike na Dada zake na asipate Exposure ya wanaume wenzake ataishia kuanza kutamani kuwa wakike next step kuwa shoga.
Kisha watakuja wapumbavu waseme amezaliwa na Hormone imbalance.

Upuuzi.
 
Niko pale kushangilia michezo, soka la kimataifa. Hamaanishi nafurahi mengine hapana
So siwez kuscha kupata burudani,
Kuna muda wa kupambana na hayo mambo.

Trump amefanya nini kuhusu hayo? Unadhani atabadili lolote ?
Kwa taarifa yako amechagua scott bessent kuongoza treasury department. Huyo bwana ni tajiri na ni GAy (shoga)
Amechagua richard grenell kuwa acting director of intelligence, huyu nae ni shoga
Amenchagua na mwingine transgender kwenye masuala ya sheria
The point is to remove gay flags. Kama wanapigwa miti huko machakani sawa. Sio kuhamasisha ushenzi.
 
The point is to remove gay flags. Kama wanapigwa miti huko machakani sawa. Sio kuhamasisha ushenzi.
Ku remove gay flags huku una elect hao hao kwenye team yako ya uongozi ni upumbavu.

Enjoy the sport, mengine waachie wao, ww ukikaa unauliza kichwa tandale kwa tumbo ukidhani watatimiza matakwa yako basi unapoteza muda
 
Back
Top Bottom