Ligi ya Uingereza ipigwe marufuku kuonyeshwa hapa Tanzania . Ni kwa kusapoti ushoga

Ligi ya Uingereza ipigwe marufuku kuonyeshwa hapa Tanzania . Ni kwa kusapoti ushoga

Mambo mengine si uache yakupite tu au utasumbua Moyo wako.

Wengine miaka hata hapa nchini na kijijini nilipo hayaongelewi ila yapo. Tuliyaona huko kwa wengine.. Ila hatukuyajali hayakutusumbua zaidi ya kuelimisha uzao wetu maisha yanaendelea. Bali ulijua suala hili lipo na kulichunguza na kujifunza kama kumbeeeee.. Oooh

Eeeeeh miaka hiyo wao walikuwa wanajiachia tu ukikutana nao. Sasa eneo moja la soho kutaka bata tukakosea tukaingia bar moja 😂😂😂😂 tukatoka mbio ila tuliona na wenzangu tumeyajua..

Hayakutusumbua hadi leo hii tunaishi wao na yao kila mtu atajiju

Watoto wetu wa kiume tuwafunze mapema na kuwatafutia wachumba, acheni wacheze na wasichana hata wakiwa wadogo. Sawa tu imesaidia.. Shule hakuna kusoma ya boys only
 
Siku ingine ile kujua tu hivi wanafanyaje hao wanaume.. Maana issue ya soho nilitaka tuyajue.. Eeeeh ilikuwa za eksi unalipia kwa TV channel unaangalia.. Tukaangalia


Tulikaaa kikundi mademu usiku mmoja tukasema leo lazima tuyaone

😂😂😂😂😂😂😂

Jamani weeeeee

tukabaki na butwaaa la ajabuu.. mmoja kama demu kabisa au wote kama mademu, hizo stailwi zawo sasa uwiiii kama demu na njemba

Leo hii hata kwa fimbo na bunduki siwezi angalia tena. Shauku la kuyajua liliishia siku hiyo.

😂😂😂😂😂😂😂

Amina hakuna kati yetu tulidakwa kiuke na tumeolewa wote na kuzaa.

Tunafunza uzao maana ukiwa na mtoto wa kiume lazima kusali aiseeeee

Lolote nipo napenda kujua mambo kuchunguza ya dunia I nasoma au kuulizia na kusikiliza.. Ndio maana mie ni CocoChanel.
 
Kwani shoga ana madhara gani kwako hadi uumie. Kwanza hizo rangi sio za mashoga ni mjumuisho wa jinsia mbalimbali za kimaumbile. Acha ubaguzi, kila mmoja duniani anastahili kufurahia namna alivyoumbwa.
Madhara makubwa ni kuwa mashoga na mawakala zao, wanatumia nguvu nyingi kuaminisha hadi watoto wadogo na makundi mengine kuwa "ndivyo walivyoumbwa" hivyo waachwe. Ukweli ni kuwa kama kuna walioumbwa hivyo ni 0.0001% . Hawa ndio wanatengeneza propaganda na kutumia pesa chafu kupata wafuasi. Wengi wa mashoga waliopo duniani, ni kutokana na na kuwa" recruited" kupitia njia mbalimbali ikiwemo matangazo kupitia kwa icons (watu maarufu). Wangekaa kimya, hakuna mtu angewasema
 
Tukisema Duniani, wanadamu hawana dhambi na hakuna Amri za dhambi, ukiondoa. Amri ni moja tu Upendo. Pendaneni, ondoeni ujinga wa kuendelea na life style ya mababu fulani. Mungu hajawahi kanyaga chini.
Hiyo amri ya upendo ndio imetoka wapi
Basi sema hakuna dhambi kabisa
 
Back
Top Bottom