choza choza
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 2,081
- 3,831
Ni mechi ya 3 tu lakini tayari Man City ni bingwa na Halaand kashachukua kiatu
Hii ligi Pep kashaigeuza farmer league kama bundesliga na league 1,
Hii ligi itakuwa na ushindani endapo Pep ataamua kuondoka
Hii ligi Pep kashaigeuza farmer league kama bundesliga na league 1,
Hii ligi itakuwa na ushindani endapo Pep ataamua kuondoka