jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
We siyo Simba.Kila ligi duniani lazima ipitie kipindi hicho hata yanga inataka kuja kufanya hivyo😓 wanasimba tutaweka wapi sura zetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We siyo Simba.Kila ligi duniani lazima ipitie kipindi hicho hata yanga inataka kuja kufanya hivyo😓 wanasimba tutaweka wapi sura zetu
Mapema mno kufanya conclusions.Ni mechi ya 3 tu lakini tayari Man City ni bingwa na Halaand kashachukua kiatu
Hii ligi Pep kashaigeuza farmer league kama bundesliga na league 1,
Hii ligi itakuwa na ushindani endapo Pep ataamua kuondoka
Marathon hii namuona city akiongoza mwanzo mwishoMan City kacheza na Ipswich Town, vibonde Chelsea , na Westham United tayari ligi imekwisha? Please. This is a marathon not a sprint bro.
Kila ligi duniani lazima ipitie kipindi hicho hata yanga inataka kuja kufanya hivyo😓 wanasimba tutaweka wapi sura zetu
Ni mechi ya 3 tu lakini tayari Man City ni bingwa na Halaand kashachukua kiatu
Hii ligi Pep kashaigeuza farmer league kama bundesliga na league 1,
Hii ligi itakuwa na ushindani endapo Pep ataamua kuondoka
Sema mwarabu akiacha kutia mpunga Etihad. Huyo Pep hebu mpe Nottingham Forest tuone.Ni mechi ya 3 tu lakini tayari Man City ni bingwa na Halaand kashachukua kiatu
Hii ligi Pep kashaigeuza farmer league kama bundesliga na league 1,
Hii ligi itakuwa na ushindani endapo Pep ataamua kuondoka
Akifuta za Ferguson nitafurahi sana.Wanaobisha ni washabiki wa Arsenal wa generation Z ambao hawajawahi shuhudia Arsenal ikichukua ubingwa wa Epl.
Pale England Pep anaenda kufuta rekodi zote zilizowekwa na Sir Alex Ferguson.
Ikumbukwe mwezi December mwaka huu Pep anaongeza kandarasi mpya ya kuendelea kuinoa the Citizens, hivyo sisi washabiki wa Chelsea, Man u, Liver na Arsenal tujiandae kwa maumivu misimu kadhaa mbele.
cc
choza choza
Angekuwa kocha mwingereza kafanya haya anayo fanya Pep kusingekalikaYaani Tanzania ujuaji sana
Sijaskia huko uingereza mchambuzi hata mmoja aseme hivyo ila sasa huku wamatumbi ndio tayari mshatabiri
Bongo mpo unique sana, msimu ulioisha kulikuwa na ile michuano ilianzia hatua ya Penalt kule Zanzibar mnaiita eti ni michuano ya muunganoYaani Tanzania ujuaji sana
Sijaskia huko uingereza mchambuzi hata mmoja aseme hivyo ila sasa huku wamatumbi ndio tayari mshatabiri
Sasa ndugu kama misimu iliyoita alianza vibaya na akawa bingwa, sasa huu alioanza kwa kasi si ataua watuMapema mno kufanya conclusions.
Misimu miwili au mitatu iliyopita ilikuwa na matokeo kama haya na mwisho wa msimu yakawa hivyohivyo?
Huwezi kusema timu ni bingwa baada ya mechi mbili tu.Sasa ndugu kama misimu iliyoita alianza vibaya na akawa bingwa, sasa huu alioanza kwa kasi si ataua watu
Kwa Barcelona bado ni mapema, ila madrid nao hawajawai chukua back to back la liga tangu 2007 hukoVipi kuhusu La Liga ndugu mchambuzi. Safari hii Barcelona itashikika kweli?
Ishu sio kuwekeza tuu maana chelsea musimu miwili iliyopita wamewekeza sana, ishu pia ni u genious wa PepTimu nyingine si zinasita kuwekeza...