RESILIENT KATO
JF-Expert Member
- Aug 21, 2024
- 1,472
- 2,766
Pep atamkimbia Arne slot!Ni mechi ya 3 tu lakini tayari Man City ni bingwa na Halaand kashachukua kiatu
Hii ligi Pep kashaigeuza farmer league kama bundesliga na league 1,
Hii ligi itakuwa na ushindani endapo Pep ataamua kuondoka
Pep hajawahi kupata shida kureplace mchezajiIwapo huyo mchezaji wake kazeeka na hajapata wengine
Sio kwa timu kama City, kuna kipindi Pep alicheza bila typical 9. Bado akabeba ligiWewe ni mchafuzi na sio mchambuzi wa soka,
Ligi ndio kwanza imeanza,kumbuka pia hua kuna majeruhi.
Akafundishe everton tuonec mlsema pep co kocha? akja epl atafel? acha inyeshe... Ad mseme ukwel kat yke & Ferguson nan n bora...
Upana wa kikosi, kikosi kilicho benchi ni bora kuliko kikosi cha timu anayoshindana nayo kubeba ubingwa,kuna siku alisema huwezi shinda epl bila kuwa na wachezaji alokua naoSio kwa timu kama City, kuna kipindi Pep alicheza bila typical 9. Bado akabeba ligi
Unaendeleaje?Ni mechi ya 3 tu lakini tayari Man City ni bingwa na Halaand kashachukua kiatu
Hii ligi Pep kashaigeuza farmer league kama bundesliga na league 1,
Hii ligi itakuwa na ushindani endapo Pep ataamua kuondoka
πππππThe Citizens
[emoji170][emoji833][emoji1665]
[emoji471]
Hallah
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
MkuuπππππMarathon hii namuona city akiongoza mwanzo mwisho