Lijue Bunge la Afrika Mashariki na Jee Uchaguzi wa Wabunge wa CCM EALA Ulikuwa ni Uchaguzi Kweli Au Kiini Macho cha Uchaguzi?

Mkuu heshima kwako,
Nataka nikuhakikishie watu kama nyie CCm hamtokaa mtoboe... iwe jua iwe mvua....
Bora uombe radhi urud Opposition.... you cant outsmart your master !
 
Mkuu heshima kwako,
Nataka nikuhakikishie watu kama nyie CCm hamtokaa mtoboe... iwe jua iwe mvua....
Bora uombe radhi urud Opposition.... you cant outsmart your master !
Mkuu mirisho pm, mimi ni mpenda haki na mtenda haki, napenda kugombea nafasi mbalimbali za uongozi, kwasababu ninajijua uwezo wangu, na kuna madudu yanayofanyika, kama ningekuwa ni mmoja wao, madudu hayo yasingefanyika, hivyo nagombea kwa kutumia CV yangu inibebe na sio hisani ya kuteuliwa kwa hisani au kwa huruma ya mtu yoyote!.
Hivyo kama issue ni kuteuliwa na Rais Samia, nimeisha sema wazi, mimi Pascal Mayalla, sihitaji uteuzi wowote wa huruma ya yeyote na hili nimelisema wazi humu Je, wajua Sio Kila Kumpongeza, ni Kujikomba/Kusaka Teuzi? Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
P
 
Nadhani ndio maana #KatibaMpya inahitajika ili kuweka mizania sawa ya masuala mbalimbali. Viongozi wanaosimamia utendaji hawapaswi kuteuliwa bali wanatakiwa kuomba kwa kutumia vigezo. Siasa ndiyo inaliharibu hili taifa.
 
Kwani hata uchaguzi wa spika unakuwaje? Kamati kuu ya chama , ikiongozwa na mwenyekiti wake ambaye ni Rais ndio inachagua kisha bunge linapiga muhuri tu
 
Nakumbuka mwaka 2017 chadema walipta nafasi mbil wakawateua wenje na mwenzake yule wakapitishwe na bunge, ndugai alisimama kidedea akasema bunge Lake sio rubber stamp ya kupitisha mambo ya watu, na wakaktaliwa na bunge, mwaka 2022 ccm wamefanya vilevile.
 

Kama uchaguzi wa 2020 uliuona ni sawa, hata ukija na mabandiko marefu ya milio watu wanaishia kukupuuza tu. Sana sana tunakuona unaleta kilio cha samaki machozi yameenda na maji.
 
Kama CCM ingekuwa na ushawishi kwa umma, ww au wengine mngeweza kukirudisha kwenye mstari. Lakini chama kimeshapoteza ushawishi kinategemea hila ya nguvu vya dola kukaa madarakani utarudisha chama kipi kwenye mstari? Lazima watu wachaguane kihuni, maana wanajua fika wako madarakani kihuni, hivyo hakuna anayejali principle.
 
Hii ni double standard, Chadema walikataliwa na Spika, lakini CCM did the same kosa lile lile la Chadema, ila sasa limeruhusiwa!. Tena mimi niliwalaumu Chadema, CHADEMA Chama cha Ajabu Sana!.Kwenda Mahakamani Kwa Non Issue, Serious Issue ya Katiba ni UKUTA!. sasa itabidi niwaombe radhi Chadema, niliwalaumu bure!, ila pia niliwasaidia maana they eventual did the right thing
P
 
broo ni ngumu huwezi kuisaidia Ccm sababu haisaidiki.. inao watu makini lkn shida bado ccm inahofu hata kwa watu makini sababu imejaa wabafhilifu.. wahuni... na magaidi wengi kuliko waaminifu wachache.
sijui broo upo kundi gani katka haya makundi yenu.
hata hivyo huwezi kufanya lolote ndani ya hii dubwasha ccm
 
broo ni ngumu huwezi kuisaidia Ccm sababu haisaidiki.
Sii kweli!, maadam CCM iliasisiwa na Nyerere, na sisi watu wa Nyerere type tupo, tutaendelea kuisaidia CCM hivi hivi ilivyo, japo wanaendelea kutia pamba masikioni, sisi wapenda haki tunaendelea kuisisitiza CCM itende haki, na kuielimisha kwa mifano kwa kuwaonyesha, wasipotenda haki, nini kitawatokea, amini usiamini, mwisho wa siku ni lazima watasikia!.
inao watu makini lkn shida bado ccm inahofu hata kwa watu makini
Kwanza nakubaliana na wewe, CCM inao watu makini, and take it from me, CCM kama CCM, haina hofu na yeyote, ila kuna mijitu tuu fulani fulani ndani ya CCM ni mijinga mijinga fulani mule ndio yenye hofu na watu makini!.

Faraja kubwa pekee ni Mama ni mpenda haki, msema haki na mtenda haki, ataibadili CCM kutoka chama cha hila hadi chama cha haki!.
sababu imejaa wabafhilifu.. wahuni... na magaidi wengi kuliko waaminifu wachache.
sijui broo upo kundi gani katka haya makundi yenu.
Naomba nisijitaje, nisije nikaonekana najifagilia!.
hata hivyo huwezi kufanya lolote ndani ya hii dubwasha ccm
No!, it's the other way, round, nimeisaidia sana CCM na naendelea kuisaidia sana tuu!.
P
 
Declaration of Interest
Mimi hushiriki mchakato wa uchaguzi ndani ya chama na nikashindwa kwa vigezo na nikubali kushindwa EALA: Waliopitishwa CCM, ni Kwa Haki!,
Wengine walitamani kujua why are we getting almost everything so correct. Ni kwa vile we are reading btn the lines. Ukiwa mchambuzi inabidi uwe na uwezo wa kusoma trends na patterns.
Sasa jiulize, CCM iliwahi kumpitisha au kumteua mwanachama gani kutoka tawi la mtandaoni? Utakuta kuwa ni zero.
Sasa kama hakuna mwana CCM wa tawi la mtandaoni aliyewahi ku benefit, what are the odds kuwa wewe Paskali ukawa wa kwanza ku benefit?
Virtually zero!
so frm there unaeeza ku conclude kuwa, kama unataka teuzi, basi umepita njia isiyo sahihi.
 
broo mimi naijua ccm ilikotoka (TANU) na inapoelekea hivyo kuniaminisha itabadilika hapa ndipo tunaposhindwa kuelewana.
nimeshakuonyesha makundi hayo makuu ndani ya hii chama ni wachache tu wenye imani za KIKOLIMBA au TUNTEMEKE hao ndio ambao wamebaki wachache na hawana nguvu hivo mabadiliko ni ndoto.
endelea kujipa matumaini broo. UTUMBO TUTAUKUTA CHINI.
 
mkuu polepole.. utaua kada wa chama
nilikuwa namaanisha hawa ndio sumu iliyomo ndani ya hii kitu ccm
 
Hivi Paschal na uzoefu wako ulikuwa hulijui hili ukaenda tu blindly?😂😂
Mkuu Johnny Sack , mimi ni kada mzoefu wa CCM, I know the games people plays, nimedhamiria kugombea nikiwa clean, na kuamua kuto plays dirty nikiamini one day CCM will come clean and pick the clean people like me.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…