Lijue Bunge la Afrika Mashariki na Jee Uchaguzi wa Wabunge wa CCM EALA Ulikuwa ni Uchaguzi Kweli Au Kiini Macho cha Uchaguzi?

Lijue Bunge la Afrika Mashariki na Jee Uchaguzi wa Wabunge wa CCM EALA Ulikuwa ni Uchaguzi Kweli Au Kiini Macho cha Uchaguzi?

Mkuu Johnny Sack , mimi ni kada mzoefu wa CCM, I know the games people plays, nimedhamiria kugombea nikiwa clean, na kuamua kuto plays dirty nikiamini one day CCM will come clean and pick the clean people like me.
P
haya ya uclean yalikuwepo enzi za julius tena kwa kiwango kichache. kwa ccm hii ya dotCOM !!🙄
MAUMIVU TUPU
 
haya ya uclean yalikuwepo enzi za julius tena kwa kiwango kichache. kwa ccm hii ya dotCOM !!🙄
MAUMIVU TUPU
No japo ni wachache lakini tupo wana CCM clean, wenye white hearts, mioyo yao as white as snow, tuko watu very cool, as cold as Ice.
P
 
No japo ni wachache lakini tupo wana CCM clean, wenye white hearts, mioyo yao as white as snow, tuko watu very cool, as cold as Ice.
P
Unapoongea hivi huwa nashangaa sana hivi kama hali ndio hii huu uclean wa kundi lenu wachache tangu enzi hizo iweje mushindwe kuongoza nchi kwenye usawa
 
No japo ni wachache lakini tupo wana CCM clean, wenye white hearts, mioyo yao as white as snow, tuko watu very cool, as cold as Ice.
P
Ameandika Askofu Kalikawe Lwakalinda Bagonza Ph'D

INAHITAJIKA MIAFAKA siyo MUAFAKA.

Kuna harufu ya mparaganyiko kila mahali. Ni kama tuna nchi moja yenye mataifa mengi ndani yake. Badala ya muafaka wa kitaifa, inahitajika miafaka kadhaa ili kuunda muafaka mmoja.

1. CCM si moja. Kuna CCM-Mpina na CCM-January. Kuna CCM-Mwendazake na CCM-Samia. Kuna CCM-Asili na CCM-Yatima. Hizi CCM zote zinahitaji muafaka ili tupate CCM moja.

2. Wapinzani si wamoja. Kuna wapinzani-Katiba Mpya na Wapinzani-Nusu Katiba Mpya. Kuna wapinzani-Mtungi na Wapinzani-Mahela. Kuna Wapinzani-Zanzibar huru na Wapinzani-Zanzibar Mkoa. Unahitajika muafaka kati ya wapinzani kabla ya muafaka wa kitaifa.

3. Serikali si moja. Kuna serikali awamu ya 5 rais wa sita na Serikali awamu ya sita rais wa sita. Kuna serikali-2025 na Serikali-2030. Hizi serikali zinahitaji muafaka.

4. Kuna bunge-live na bunge-giza. Kuna bunge-haramu ndani jengo halali na bunge-halali nje ya jengo halali. Kuna sheria halali zilizotungwa na bunge haramu.

5. Kuna Polisi-Tii sheria bila shuruti na Polisi-Tii shuruti bila sheria. Kuna IGP bila Polisi na Polisi bila IGP.

Unashangaa? Tanzania ni eneo la utalii. Kila kitu ni kiburudisho. Hatuambukizani Corona, tunaambukizana tabia. Mwenyekiti wa msiba anamuiga Spika namna ya kuongoza kikao cha mazishi. Askofu anamuiga OCD ili kuongoza kanisa. Kocha wa Simba anamuiga kocha wa Yanga lakini anafungwa mengi kuliko Yanga.

Bei ya mafuta imepandisha hata rushwa ya barabarani. 🧏‍♂️🧏‍♂️🧏‍♂️
 
Unapoongea hivi huwa nashangaa sana hivi kama hali ndio hii huu uclean wa kundi lenu wachache tangu enzi hizo iweje mushindwe kuongoza nchi kwenye usawa
Kwanza kwenye CCM clean hatuna kundi, ni individuals, nawajua wana CCM safi, waadiliful wanao chukia rushwa na wako tayari kukosa uongozi kuliko kununua uongozi. Hawa CCM clean sii wote are fighting to clense CCM, wengine kutokana na umri wameamua kujinyamazia na kuwaachia wenye meno.

Mimi kwa upande wangu, I cleanse CCM kupitia kalamu yangu na sauti yangu, na amini uniamini kuna siku watasikia, wakiendelea kushupaza shingo, then kuna siku ya Mwanagutu itafika kwa CCM Serikali ya CCM, Yapewa Onyo la "Mwanagutu"-" Siku Yake Ipo!, Utapogeuka Upepo, Wasije Kulia!.

Siku hiyo ikifika, itakuwa ni siku ya CCM "Mene Mene Tekeli na Peresi" ....?!
P
 
Kwanza kwenye CCM clean hatuna kundi, ni individuals, nawajua wana CCM safi, waadiliful wanao chukia rushwa na wako tayari kukosa uongozi kuliko kununua uongozi. Hawa CCM clean sii wote are fighting to clense CCM, wengine kutokana na umri wameamua kujinyamazia na kuwaachia wenye meno.

Mimi kwa upande wangu, I cleanse CCM kupitia kalamu yangu na sauti yangu, na amini uniamini kuna siku watasikia, wakiendelea kushupaza shingo, then kuna siku ya Mwanagutu itafika kwa CCM Serikali ya CCM, Yapewa Onyo la "Mwanagutu"-" Siku Yake Ipo!, Utapogeuka Upepo, Wasije Kulia!.

Siku hiyo ikifika, itakuwa ni siku ya CCM "Mene Mene Tekeli na Peresi" ....?!
P
 
Paskali Mayalla nadhani sasa umedhihirisha nilichokuambia mapema!
Wewe huijui CCM na pia wewe ni very poor strategist ! Hivyo kwenye siasa your chances are very narrow!
 
Unapoongea hivi huwa nashangaa sana hivi kama hali ndio hii huu uclean wa kundi lenu wachache tangu enzi hizo iweje mushindwe kuongoza nchi kwenye usawa
Kwanza kwenye CCM clean hatuna kundi, ni individuals, nawajua wana CCM safi, waadiliful wanao chukia rushwa na wako tayari kukosa uongozi kuliko kununua uongozi. Hawa CCM clean sii wote are fighting to clense CCM, wengine kutokana na umri wameamua kujinyamazia na kuwaachia wenye meno.

Mimi kwa upande wangu, I cleanse CCM kupitia kalamu yangu na sauti yangu, na amini uniamini kuna siku watasikia, wakiendelea kushupaza shingo, then kuna siku ya Mwanagutu itafika kwa CCM Serikali ya CCM, Yapewa Onyo la "Mwanagutu"-" Siku Yake Ipo!, Utapogeuka Upepo, Wasije Kulia!.

Siku hiyo ikifika, itakuwa ni
na Mene Mene Tekeli na Peresi ya CCM itatinga!.
P
 
No japo ni wachache lakini tupo wana CCM clean, wenye white hearts, mioyo yao as white as snow, tuko watu very cool, as cold as Ice.
P
Kuna ccm wenyewe na ccm makapi. Kama wewe ni ccm makapi hata uwe mweupe kama theluji na baridi kama barafu hautakaa uingie kwenye kundi la ccm wenyewe.
 
Paskali nimekusoma mpaka mwisho, nikajiuliza, hivi wakati unaenda kuchukua form kwa ajili ya kugombea huo ubunge hukuyafahamu haya? naamini uliyafahamu.

Sasa kama uliyafahamu, kwanini uje kulaumu hizo taratibu baada ya matokeo kutoka? hapa napo nikapata swali lingine kwako, hivi kama ungeshinda ungekuja kuandika haya malalamiko yako? au ungesifia mchakato ulivyokwenda mpaka kuwapata washindi?

Mimi kwa mtazamo wangu, ili haya malalamiko yako yawe na maana, ulitakiwa usishiriki huu mchakato toka mwanzo, kisha uoneshe huo udhaifu uliouandika hapa wa namna washindi wanavyopatikana kutoka kwa majina yaliyopitishwa na CCM [bunge kuwa rubber stamp], lakini sio kwenda, kisha ukapigwa halafu unarudi kulaumu.

Next time ujifunze.
 
Kuna ccm wenyewe na ccm makapi. Kama wewe ni ccm makapi hata uwe mweupe kama theluji na baridi kama barafu hautakaa uingie kwenye kundi la ccm wenyewe.
Mkuu Algore japo hili sii jambo jema lakini lipo!, kuna wenye CCM, wana CCM, na wakuja!, kama ilivyo kwenye nchi kuna wenye nchi, wala nchi na wananchi!. Huu ni ubaguzi ambao kiukweli kabisa, sio tuu unasabisha bitterness kwa walio baguliwa, bali taifa linapata madhara makubwa kwa kuongozwa na viongozi wabovu wabovu, lakini wanachaguliwa kwasababu ni "wenzetu"!. Kwenye top 3 ya 2005, kwa upande wa CCM, walikuwa Dr. Salim, an internationa diplomat, a man with intergrity!, Prof.. Mark Mwandosya an academician, best brain, high IQ, na JK, mshikaji mwenye GPA ya 2.1, a handsome boy, mwenye sura nzuri cheko na bashasha tele.

Kampeni za mwisho kumnadi JK zilifanywa na mtandao kwa ubaguzi wa wazi wazi kwa kuwachafua washindani wa JK kwenye media, Dr. Salim akielezwa ni Hizbu na ikatengenezwa picha moja kwa Photoshop kumuoshea Dr. Salim akiwa na uongozi wa Umma Party!. Prof. Mwandosya akazushiwa kashfa. Msumari wa mwisho kwenye jeneza la kuwachinja Dr. Salim na Prof. Mwandosya ulikomelewa na Ben, "tumchague mtu ambaye ni mwenzetu", JK akapeta, wale waandishi waliofanya kazi nzuri, wakalipwa wema!. Matokeo ya 10 years ya JK tunayajua!.

Mimi kosa langu kubwa ni kuwa mkweli tuu much!, na kuusema huo ukweli bila kumungunya!. Mimi ni CCM wa Nyerere type, ukiondoa michango ya lazima, sijawahi kutoa senti tano yangu kununua uongozi!.
P
 
Mkuu Mmawia , kwenye upatikanaji wa wabunge wa EALA, wabunge hao wanachaguliwa na mabunge ya nchi husika. The bottom line ni uchaguzi unafanywa na Bunge. Kwa Tanzania mchakato wake unapitia two stages
1. Uchaguzi wa wagombea kwenye ngazi ya vyama. Mchakato huu kwa CCM ndio umekwenda vizuri, waliochaguliwa wamechaguliwa kwa haki, na tulioshindwa, tumeshindwa kwa haki kwa kuzidiwa sifa na waliochaguliwa EALA: Waliopitishwa CCM, ni Kwa Haki!, Tulioachwa ni kwa Haki, Tumezidiwa Vigezo!. Thanks4 for Support, Nimekubali Matokeo Kiroho Safi! Kazi Iendelee!

Baada ya mchakato huu, CCM ilipaswa ichague angalau majina mawili kwa kila nafasi ili kulipa Bunge fursa ya kuchagua.
Kilichofanyika hapa ni majina ya walioteuliwa na CCM yakapelekwa kwenye party caucas ya CCM, wakaibuka na majina 8 kwa zile nafasi 8 za CCM ndio yakapelekwa Bungeni.
2. Bunge kupokea majina kutoka kwenye vyama vya siasa, kisha wabunge ndio wafanye uchaguzi kuwachagua wabunge wa EALA. Ni vyama vya upinzani pekee ndio vimepeleka bungeni majina na bunge kuchagua, lakini kwa zile nafasi 8 za EALA za CCM, hakukuwa na uchaguzi because there was no choice to choose from, bali kuthibitisha wale 8 wa CCM.
Hili ni Bunge la 4 la EALA, mabunge yote matatu yaliyotangulia, Bunge la JMT, lilichagua wabunge wa EALA by choices from vyama vya siasa ikiwemo CCM ambayo ilichagua majina mawili mawili. This time CCM ndio imechagua wawakilishi 8 na kulipa Bunge kuwathibitisha tuu na sio kuwachagua!.
P
Haya ni mazonge ya ccm yako usije kulialia huku.
 
Paskali nimekusoma mpaka mwisho, nikajiuliza, hivi wakati unaenda kuchukua form kwa ajili ya kugombea huo ubunge hukuyafahamu haya? naamini uliyafahamu.
Mkuu denooJ, kiukweli kuna mambo ni magumu kueleweka mpaka mtu uwe na jicho fulani hivi, ndipo utayaelewa!. Siku zote Bunge letu hupelekewa majina mawili mawili au zaidi kwa ajili ya kila nafasi, kisha ndipo Bunge huchagua!, this time Bunge limepelelewa jina moja moja tuu from CCM, hivyo kazi ya Bunge, haikuwa kuchagua bali kupitisha tuu!, ili kuchagua kitu, there must be some choices to choose from!. Mchakato wa ndani ya chama ulikwenda vizuri, waliochaguliwa walichaguliwa kwa haki, na tuliokatwa tulikatwa kwa haki kwa kuzidiwa vigezo, hili sio bandiko la complain, and its not about me!. EALA: Waliopitishwa CCM, ni Kwa Haki!, Tulioachwa ni kwa Haki, Tumezidiwa Vigezo!. Thanks4 for Support, Nimekubali Matokeo Kiroho Safi! Kazi Iendelee!
Sasa kama uliyafahamu, kwanini uje kulaumu hizo taratibu baada ya matokeo kutoka?
Hii haijawahi kutokea huko nyuma, na hata hapa nilipoeleza hili, sijui kama wahusika wanajua kuna tatizo, mimi jukumu langu ni nimenote na kuangazia, nimetimiza wajibu wangu.
Mimi kwa mtazamo wangu, ili haya malalamiko yako yawe na maana, ulitakiwa usishiriki huu mchakato toka mwanzo, kisha uoneshe huo udhaifu uliouandika hapa wa namna washindi wanavyopatikana kutoka kwa majina yaliyopitishwa na CCM [bunge kuwa rubber stamp], lakini sio kwenda, kisha ukapigwa halafu unarudi kulaumu.

Next time ujifunze.
Haya sio malalamiko yangu, nasisitiza mimi silalamiki kukatwa EALA, EALA: Waliopitishwa CCM, ni Kwa Haki!, Tulioachwa ni kwa Haki, Tumezidiwa Vigezo!. Thanks4 for Support, Nimekubali Matokeo Kiroho Safi! Kazi Iendelee!, hapa nazungumzia Bunge letu kufanywa a rubber stamp ya CCM!.
P
 
19 June 2023
Arusha, Tanzania

Wabunge wa EALA wa kutoka Tanzania sakata la bandari na DP World wataka Msajili wa Vyama Vya Siasa kuingilia kati



Wabunge wa Tanzania waliopo katika bunge la Afrika ya Mashariki yaani EALA walaani kauli hasi za baadhi ya waTanzania katika mjadala wa wazi unaoendelea katika jamii ya waTanzania...

Mbele ya waandishi wa habari wabunge hao wanaoiwakilisha Tanzania EALA wametoa kauli rasmi kulaaani vikali mijadala hasi inayoendelea katika mitandao ya kijamii ikihusisha utoaji wa Maoni juu ya uwekezaji wa Bandari ya Dar-es-Salaam mijadala wanayoileza kuwa haina Afya kwa umoja wetu na muungano wetu wa Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar wakiwakosoa unaojadili swala hilo kwa misingi ya Udini, ukabila na Asili ya Watu walipozaliwa..
 
Back
Top Bottom