Pre GE2025 Likizo inaisha lini?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Good morning to you boss, uli miss ka sana.
Tunakukaribisha tena.
Nimerudi salama boss tupo pamoja
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† Karibu tena bhana
Kama kawa kama dawa..!πŸ‘ŒπŸΏ
Sijasoma kilichoandikwa ila karibu tena jukwaani Mlozi mwandamizi.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™πŸΎπŸ™πŸΎ
Karibu Tena ndugu mshana karibu kwenye kilinge cha waganga wa Simba SC club inabidi mfanye sana ulozi mwaka huu msiwe wa tatu kwenye ligi adios amigos @Cc ephen_ View attachment 3054751
πŸ˜‚πŸ˜‚ nitakuja na Uzi wa amphibia
Sema tena jezi za Yanga zina laana
Sio laana tuu na gund
Tunaojua kusoma tabia za watu...

Aliyeandika hapa si mshana...

Kama ni yeye, lipo jambo.
Ni mimi mwenyewe kabisa
Karibu sana Mshana Jr jf ilikumiss
❀❀❀much loveπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎ
Afadhali nimekuona, nilidhani kutokuonekana kwako muda mrefu huenda ni mmojawapo wa member walioaga dunia kumbe uko hai. Safi sana, tupe madini yako tuliyoyakosa kwa kipindi upo mapumzikoni yametokea mengi
πŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎ
🀣

sema ulivamia kambi wakakusweka kilingeni
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Good morning to you boss, uli miss ka sana.
Tunakukaribisha tena.
Nimerudi salama boss tupo pamoja
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† Karibu tena bhana
Kama kawa kama dawa..!πŸ‘ŒπŸΏ
Sijasoma kilichoandikwa ila karibu tena jukwaani Mlozi mwandamizi.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™πŸΎπŸ™πŸΎ
Karibu Tena ndugu mshana karibu kwenye kilinge cha waganga wa Simba SC club inabidi mfanye sana ulozi mwaka huu msiwe wa tatu kwenye ligi adios amigos @Cc ephen_ View attachment 3054751
πŸ˜‚πŸ˜‚ nitakuja na Uzi wa amphibia
Sema tena jezi za Yanga zina laana
Sio laana tuu na gund
Tunaojua kusoma tabia za watu...

Aliyeandika hapa si mshana...

Kama ni yeye, lipo jambo.
Ni mimi mwenyewe kabisa
Karibu sana Mshana Jr jf ilikumiss
❀❀❀much loveπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎ
Afadhali nimekuona, nilidhani kutokuonekana kwako muda mrefu huenda ni mmojawapo wa member walioaga dunia kumbe uko hai. Safi sana, tupe madini yako tuliyoyakosa kwa kipindi upo mapumzikoni yametokea mengi
πŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎ
🀣

sema ulivamia kambi wakakusweka kilingeni
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mshana Jr shikamoo...

Nimekuwa nikisikia kuwa wewe ni mtaalamu wa nguvu za asili...

Leo nakusalimia tu 🀝
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Good morning to you boss, uli miss ka sana.
Tunakukaribisha tena.
Nimerudi salama boss tupo pamoja
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† Karibu tena bhana
Kama kawa kama dawa..!πŸ‘ŒπŸΏ
Sijasoma kilichoandikwa ila karibu tena jukwaani Mlozi mwandamizi.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™πŸΎπŸ™πŸΎ
Karibu Tena ndugu mshana karibu kwenye kilinge cha waganga wa Simba SC club inabidi mfanye sana ulozi mwaka huu msiwe wa tatu kwenye ligi adios amigos @Cc ephen_ View attachment 3054751
πŸ˜‚πŸ˜‚ nitakuja na Uzi wa amphibia
Sema tena jezi za Yanga zina laana
Sio laana tuu na gund
Tunaojua kusoma tabia za watu...

Aliyeandika hapa si mshana...

Kama ni yeye, lipo jambo.
Ni mimi mwenyewe kabisa
Karibu sana Mshana Jr jf ilikumiss
❀❀❀much loveπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎ
Afadhali nimekuona, nilidhani kutokuonekana kwako muda mrefu huenda ni mmojawapo wa member walioaga dunia kumbe uko hai. Safi sana, tupe madini yako tuliyoyakosa kwa kipindi upo mapumzikoni yametokea mengi
πŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎ
🀣

Sawa Karibu JF Tupo Tupo
Thanks brother
 
Watu kama ninyi huwa nawachukia....ni shaba tuu hamna faida
 
Watu kama ninyi huwa nawachukia....ni shaba tuu hamna faida
Wewe ni mchepuko wa mleta mada? naona kama imekuuma sana,
Jibu swali kwanza kabla sijakujibu jibu nililoliandaa kwa ajili yako.
 
Breaking news ndio inasubiriwa kwa hamu zaidi na Watu wengi
 
Chief punguza ghadhabu hasa kwa haya maisha ya nadharia ya kimtandao.
 
Karibu tena bwashee. Watu walikuwa na hofu sana kwa kupotea kwako jukwaani!
 
Huu uz ni wew ulikuw lkzo au n mtu yupo lkzo inavyosemekn
 
puguza stress... Fanya mazoezi ya viungo, jipe muda wa kupumzika lala masaa 7 walau kwa siku, kula chakula bora na si bora chakula, kunywa maji mengi yale safi na salama walau lrt mbili kwa siku hali hiyo itaondoka taratibu utakuwa safi kama umezaliwa upya!
 
Hapa anasemwa Makonda lakini povu linakutoka wewe, ajabu kwelikweli.
 
Umeona ehheee, amekurupuka.
 
Makamba mbona umepaniki hivi ?
 
Codes ulizotumia wachache watazigundua, anyway unapokuwa likizo usiruhusu kuacha tetezi Huku nyuma!! Ili likizo iwe ya amani
 
Anaway likizo ya kisheria ni wiki nne! Zikiisha hizi hujarudi kibaruani ni aidha kati ya haya mawili

Mzee baba kuna aina nyingi ya likizo hii umeitaja ni aina moja ambayo ni annual leave...

Nyingine ni SICK LEAVE, compassionate leave, maternity leave n.k
 
Good morning to you boss, uli miss ka sana.
Tunakukaribisha tena.
Nimerudi salama boss tupo pamoja
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† Karibu tena bhana
Kama kawa kama dawa..!πŸ‘ŒπŸΏ
Sijasoma kilichoandikwa ila karibu tena jukwaani Mlozi mwandamizi.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™πŸΎπŸ™πŸΎ
Karibu Tena ndugu mshana karibu kwenye kilinge cha waganga wa Simba SC club inabidi mfanye sana ulozi mwaka huu msiwe wa tatu kwenye ligi adios amigos @Cc ephen_ View attachment 3054751
πŸ˜‚πŸ˜‚ nitakuja na Uzi wa amphibia
Sema tena jezi za Yanga zina laana
Sio laana tuu na gund
Tunaojua kusoma tabia za watu...

Aliyeandika hapa si mshana...

Kama ni yeye, lipo jambo.
Ni mimi mwenyewe kabisa
Karibu sana Mshana Jr jf ilikumiss
❀❀❀much loveπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎ
Afadhali nimekuona, nilidhani kutokuonekana kwako muda mrefu huenda ni mmojawapo wa member walioaga dunia kumbe uko hai. Safi sana, tupe madini yako tuliyoyakosa kwa kipindi upo mapumzikoni yametokea mengi
πŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎ
🀣

sema ulivamia kambi wakakusweka kilingeni
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Karibu tena bwashee. Watu walikuwa na hofu sana kwa kupotea kwako jukwaani!
Nipo salama mkuu na nimepanda daraja baada ya kuhitimu na kufaulu kozi ya juu zaidi
Mzee baba kuna aina nyingi ya likizo hii umeitaja ni aina moja ambayo ni annual leave...

Nyingine ni SICK LEAVE, compassionate leave, maternity leave n.k
πŸ˜€ nimechagua 'the most common'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…