dir good beatus
Member
- Jun 26, 2015
- 55
- 62
Kipindi cha likizo ni lazima mwanafunz aende likizo. akae mbali na darasa na akae karibu na nyumbani.
Akae mbali na waalimu, na karibu na wazazi au walezi.
Kutaka kuwapa masomo ya zaidi. Ni Tamaa ya fedha au kiashirio Cha uzembe wa walimu:
Uzembe kwa maana ya kushindwa kukutumia muda wa masomo VIZURI, mpaka kutaka kuutumia muda wa mapumziko.
Likizo ni lazima.
Akae mbali na waalimu, na karibu na wazazi au walezi.
Kutaka kuwapa masomo ya zaidi. Ni Tamaa ya fedha au kiashirio Cha uzembe wa walimu:
Uzembe kwa maana ya kushindwa kukutumia muda wa masomo VIZURI, mpaka kutaka kuutumia muda wa mapumziko.
Likizo ni lazima.